mpatto
JF-Expert Member
- Apr 28, 2017
- 766
- 1,031
Hi there, GT
Ninataka kuanza biashara ya kuagiza vitu mtandaoni kutoka nchi za ng'ambo kwa kutumia online markets kama vile eBay, Amazon na Alibaba.
Kwa yeyote mwenye uzoefu na biashara hii naomba anisaidie kwa kuniambia changamoto zake, mtaji, soko na kodi na zinginezo.
Natanguliza shukrani
Ninataka kuanza biashara ya kuagiza vitu mtandaoni kutoka nchi za ng'ambo kwa kutumia online markets kama vile eBay, Amazon na Alibaba.
Kwa yeyote mwenye uzoefu na biashara hii naomba anisaidie kwa kuniambia changamoto zake, mtaji, soko na kodi na zinginezo.
Natanguliza shukrani