Habar zenu wana Jamvi...I hope tuko salama sote pia kwa ambao hawapo sw kwa namna moja ama nyingne Tunakuombeen mrejee ktk salama..
Ndugu zangun mm ni kijana mweny umri wa miaka 20, nimehitimu kidato cha sita mwaka huu na sikupata post ya Jesh hivo npo mtaani kwa ss. Ndoto yang kubwa ni kua Ujasiriamali mkubwa sana hivyo ili kutimiza ndoto zangu nmeona nianze kuangalia fursa mapema na moja ktk hizo nmeona nianze na hii ya Library.
Naomben sn kwa mwenye ujuz na biashara hii ya kukodisha na kuuza CD anipe mchanganuo kuanzia mtaji na process nyngne zote,npo Daressalaam!!
Ntashukuru sn kwa mawazo yenu!!!