0909Hekima
JF-Expert Member
- Feb 23, 2013
- 226
- 65
Mchele upo mwingi sana ni pm no yako
Nenda ifakara mchele kibao nenda mwenyewe kule kule uazisome bei...achana na walanguzi wa mjini
A.alykum wana JF, nina mtaji wangu pia ninaona fursa kubwa juu ya hizi biashara za nafaka, nimeamua ku segment na kuchukua biashara ya mchele, masoko nayaona ila upatikanaji wake ndio imekuwa challenge kwangu na nimeona niliwakilishe ili ndugu zangu mpate nipatia mawazo ili nami pamoja nanyi tunufaike! Ahsante.
Mkuu, SOKO la mchele umeliona halafu haujui sehem ya kupata mchele??..Uko mwingi sana mkuu, nenda shamba! Usitume mtu, kama una pesa yako mkononi NENDA SHAMBA, Ifakara, Kyela, Kahama...Haujasema tu uko wapi!!
nipo dsm kaka mkuu. Shukran sana