0909Hekima
JF-Expert Member
- Feb 23, 2013
- 226
- 65
A.alykum wana JF, nina mtaji wangu pia ninaona fursa kubwa juu ya hizi biashara za nafaka, nimeamua ku segment na kuchukua biashara ya mchele, masoko nayaona ila upatikanaji wake ndio imekuwa challenge kwangu na nimeona niliwakilishe ili ndugu zangu mpate nipatia mawazo ili nami pamoja nanyi tunufaike! Ahsante.