Ubungo Mataa
JF-Expert Member
- Nov 24, 2018
- 411
- 725
Nimepewa wazo la biashara ya Samaki wabichi. Unachukua samaki wabichi aina kadhaa kutoka kwa wavuvi Bagamoyo kwa vipimo vya ndoo unaepeleka moja kwa moja kwenye maduka ya samaki Kariakoo. Jamaa anasema inalipa vizuri ila hana uzoefu.
Naomba mwenye uzoefu au anaefanya biashara hii anipe A B C, kama una ndugu au rafiki yako anafanya hii naomba uniunganishe nae.
Comment au DM ipo wazi.
Asanteni!
Naomba mwenye uzoefu au anaefanya biashara hii anipe A B C, kama una ndugu au rafiki yako anafanya hii naomba uniunganishe nae.
Comment au DM ipo wazi.
Asanteni!