Msaada Biashara ya Vijora

Msaada Biashara ya Vijora

ZamdaIssa

JF-Expert Member
Joined
Nov 10, 2015
Posts
879
Reaction score
1,458
Wapendwa salaam! Amani ya Mungu baba muumba iwe juu yetu sote!

Jamani mwenzenu nilikuja humu ndani kuuliza biashara ya vyombo ila nasikitika sana sikufanikiwa katika biashara ile kwani nilipata mtihani wa maradhi! Pesa yote ikaisha!

Mimi naishi Dar, Nimevutiwa sana na biashara ya Vijora ila sasa nataka vile vya kutoka Mombasa Kenya... Nahitaji nichukulie mzigo huko huko Mombasa!

Naomba mwenye Uelewa na biashara hii anieleweshe tafadhali.

Wasalaam.
 
Fanya mpango wa passport uwe unafata mwenyewe Mombasa, kule unaweza kukuta kijora Quality kinauzwa mpaka Tsh 4000 kwa bei ya jumla, halafu ukija huku unauza kwa Tsh 11000 keshi na 14000 mkopo kwa wiki vinalipa sana kama una wateja na mtaji mzuri, kwani unaweza kuchukua mzigo ukasambaza na kuchukua advance kwa wateja halafu ukafata mzigo mwengine
 
Back
Top Bottom