Dr Count Capone
JF-Expert Member
- Feb 7, 2017
- 1,878
- 3,263
Wewe ndiye ulitoa mada mkuu ?Kafanya hiyo biashara au? Utaalam wake unathibitika kwa namna gani? Vyeti? Uhalisia? Kuiishi hiyo biashara au?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ndiye ulitoa mada mkuu ?Kafanya hiyo biashara au? Utaalam wake unathibitika kwa namna gani? Vyeti? Uhalisia? Kuiishi hiyo biashara au?
location pia inachangiaWaheshimiwa nahitaji msaada kwenye hili, hivi inakuwaje mtu hauuzi kabisa dukani kwako kwa siku karibia 20 yani kila siku patupu tatizo linakua ni nini?
Binafsi nimefungua frame nauza mitumba ya kike(gauni) lakini niliuza siku 5 za kwanza tu ila sasa hivi mambo magumu mzigo ni kama umechacha sijafikia hata nusu ya gharama za mzigo.
Inawezekana sana tu. Juzi nilienda kwa mtu mmoja yeye anafungua balo nyumbani kwake. Ana mdoli anavalisha kila nguo then anatupia picha wasap. Wateja wa jumla na reja reja mpaka anatuma nje ya mkoa aliopo.Alinihamasisha kwakweli.wateja wa mtandaoni?
inavutia sana katika mandishiInawezekana sana tu. Juzi nilienda kwa mtu mmoja yeye anafungua balo nyumbani kwake. Ana mdoli anavalisha kila nguo then anatupia picha wasap. Wateja wa jumla na reja reja mpaka anatuma nje ya mkoa aliopo.Alinihamasisha kwakweli.
Nashukuru sanaChochote utakachoamua ni sawa ila hakikisha unaondoka na funzo fulani la marketing.
Well, tengeneza mtandao wa wateja, jiwekee mikakati ya jina la aina ya bidhaa unazouza.
Nilifanya hatua hizi kuwa na mtandao wa wateja hasa kwenye WhatsApp contacts list / Facebook na Insta.
1.
Nilikuwa nalipia facebook ads inatangaza, insta na facebook, naweka settings accordning to aina za wateja/watu naotaka kuwafikia.
2.
Nahakikisha kuna namba za simu, na picha nzuri za bidhaa,ilikuwa mtu akipenda aki click inampeleka kwenye namba zangu za simu akitext namba inakuwa kwenye phonebook yangu
( provided contact synchronised kwenye clouds ili siku ukipoteza simu unazi recover).
3.
Nilikuwa na mpango kazi wa 3 months naruka week mbili mbili kupandisha ads.
4.
Network ikakua na hata sometime unauza lakini unaweza act kama middle man kipindi huna mzigo, mtaji ni contacts list uliyo nayo.
Fanya haya hata ukihama ulipo unaweza hama na baadhi ya wateja wako hii ina kuwa unapiga miguu yote, ila kuhusu kuhama liangalie kwa umakini hata huko uendako pia, kupiga one two za maombi/dua, ndumba ziwepo kama extras [emoji28].
Tyrone KG
kunajama yangu alikua anapiga picha na kutuma mitadaoni biashara yake jioni ukimkuta anasoma coment ni vituko vitupuInachukua muda sana kupata hata msg tu ya kwanza kwa watu wa mtandaoni.
Inachukua muda sana kupata hata msg tu ya kwanza kwa watu wa mtandaoni.
Yes siku hizi biashara zinahitaji matangazo ya mtandaoni,ukiuza kwa staili ya kizamani ya kukaa kwenye kiti unangoja wateja hupati kitu.Usisuburi wateja wa kuja dukani anza kupost mitandaoni
Piga picha nguo vizuri iwekee details post
Sponser ads utauza tu
Ebu nikusaidie tiba ya muda mfupi, kwanza unatakiwa uwe mtu wa maombi sana uwe mchaji kulingana na Imani yako.
Kisha, chukua MDALASINI kama ni kijiko kimoja changanya na KARAFUU kijiko kimoja, tia kwenye sufuria yenye maji chemsha kwa DAKIKA 11 tu, epua kamwage eneo lako la biashara.
Ikiwa mwanzoni uliuza vizuri ikafuatia mfululizo kwa kutouza bas kuna tatizo kiroho.
Ukifanya nilichokuelekeza kama ni usiku wa leo kesho
Tafadhali naomba upite kwenye page yangu unisupport Allana's Closet (@allanah_closet) • Instagram photos and videosYes kabisaa
Yaani instagram una followers mmoja Afu unataka upate wateja?Tafadhali naomba upite kwenye page yangu unisupport Allana's Closet (@allanah_closet) • Instagram photos and videos