Msaada: Biashara yangu inapata Mauzo hafifu

location pia inachangia
 
Usisuburi wateja wa kuja dukani anza kupost mitandaoni

Piga picha nguo vizuri iwekee details post
Sponser ads utauza tu
Nimeanza kufanya hivo lakini response bado ni ndogoo nimejiunga huko facebook lakini bado
 
Inawezekana sana tu. Juzi nilienda kwa mtu mmoja yeye anafungua balo nyumbani kwake. Ana mdoli anavalisha kila nguo then anatupia picha wasap. Wateja wa jumla na reja reja mpaka anatuma nje ya mkoa aliopo.Alinihamasisha kwakweli.
inavutia sana katika mandishi
 
Nashukuru sana
 
Ka loge mkuu
[emoji613]Biashara hawafany kizembe.[emoji2484]
 
Ebu nikusaidie tiba ya muda mfupi, kwanza unatakiwa uwe mtu wa maombi sana uwe mchaji kulingana na Imani yako.

Kisha, chukua MDALASINI kama ni kijiko kimoja changanya na KARAFUU kijiko kimoja, tia kwenye sufuria yenye maji chemsha kwa DAKIKA 11 tu, epua kamwage eneo lako la biashara.

Ikiwa mwanzoni uliuza vizuri ikafuatia mfululizo kwa kutouza bas kuna tatizo kiroho.

Ukifanya nilichokuelekeza kama ni usiku wa leo kesho utawaona wateja.
 
Usisuburi wateja wa kuja dukani anza kupost mitandaoni

Piga picha nguo vizuri iwekee details post
Sponser ads utauza tu
Yes siku hizi biashara zinahitaji matangazo ya mtandaoni,ukiuza kwa staili ya kizamani ya kukaa kwenye kiti unangoja wateja hupati kitu.
Maana kuna wafanyabiashara wa kutoka mbali wanakuja mtaani kwako wanafanya delivery kwa wateja nyumba hadi nyumba na wewe wanakupita tu.
Lakini sababu nyingine pia biashara ikiwa mpya usitegemee mauzo kwa haraka,huwa inachukua muda sana hadi ije kuwa stable.
 

Yes kabisaa
Tafadhali naomba upite kwenye page yangu unisupport Allana's Closet (@allanah_closet) • Instagram photos and videos
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…