Jan-uary
JF-Expert Member
- Dec 7, 2017
- 984
- 1,058
Tarehe 06/06/2019 usiku mimba ya miezi mitatu iliporomoshwa kwa maksudi,mporomoshaji alikuwa akibleeda kwa maumivu makali sana,siku sita baadae akaenda hospitalini kusafishwa,baada ya hapo damu ikakoma ukawa unatako uchafu tu , hiyo hali imeendelea mpaka jana ambapo nikamshauri mporomoshaji aende tena hospital,kaenda hospital kachomwa sindano (sijui ni aina gani) masaa machache baada ya kuchoma sindano bleed imerudi kwa kasi ya ajabu,je hii hali ni kawaida?wasiwasi wa mporomoshaji ni kutopata mimba tena,je afanye nini ili asije akapata ugumba?