Msaada;Civil Engineering&Electrical Engineering.

Chum Kane

JF-Expert Member
Joined
Sep 16, 2013
Posts
1,143
Reaction score
948
Kwa anaye fahamu chochote kuhusu kozi tajwa naomba achangie..NB MAJIGAMBO YA VYUO SI PAHALA PAKE.
 
Civil &electrical engeneering zote ni nzuri xana ,bcoz xalary yake inaanzia lak 9,tatzo linakuja kwenye ajira,cku hz wanaxota xana mtaani coz n weng xana for more info: col [updated-boy]
 
Civil &electrical engeneering zote ni nzuri xana ,bcoz xalary yake inaanzia lak 9,tatzo linakuja kwenye ajira,cku hz wanaxota xana mtaani coz n weng xana for more info: col [updated-boy]

Shukran kwa mchango wako.
 
mkuu kwa ushauri tafuta thread kama hiyo humu jukwaani! Coz watu walisha-discuss hio inshu
 
Civil &electrical engeneering zote ni nzuri xana ,bcoz xalary yake inaanzia lak 9,tatzo linakuja kwenye ajira,cku hz wanaxota xana mtaani coz n weng xana for more info: col [updated-boy]

Huu uandishi wako unadhirisha hataulichoandika ni UONGO!!!
 
Civil &electrical engeneering zote ni nzuri xana ,bcoz xalary yake inaanzia lak 9,tatzo linakuja kwenye ajira,cku hz wanaxota xana mtaani coz n weng xana for more info: col [updated-boy]

Duu! Kwa uandishi huu na wewe unataka uwe engineer? Kwa nini usiwe msanii tu??!
 
Kipi unakipenda ndo kinamata zaidi..kama huko compitent ajira sio ishu kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…