Habari wanajamvi.
Mi ni mzalishaji wa bidhaa za chakula hasa sembe, mchele brown na white (mbeya kyela), maharage nk. Ningependa nipanue wigo wangu, natamani kufanya biashara na kenya na sudani kusini,ila zaidi sudan kusini tatizo connection na namna ya kupata taarifa sahihi za kodi na malipo mengine na logistic kwa ujumla.
Naombeni msaada wenu wakuu.
Nawasilisha.
Mi ni mzalishaji wa bidhaa za chakula hasa sembe, mchele brown na white (mbeya kyela), maharage nk. Ningependa nipanue wigo wangu, natamani kufanya biashara na kenya na sudani kusini,ila zaidi sudan kusini tatizo connection na namna ya kupata taarifa sahihi za kodi na malipo mengine na logistic kwa ujumla.
Naombeni msaada wenu wakuu.
Nawasilisha.