Ukiona hvo ujue Thread ina wenyewe na haikuhusuuuuu..Faidika ndo Nini? Inafanya nin? Unaleta habari kama wote tunafahamu hiyo faidika.
Jaribu kudadavua acha dharau kijana.Ukiona hvo ujue Thread ina wenyewe na haikuhusuuuuu..
Hawa ni matapeli wanatutega!Jaribu kudadavua acha dharau kijana.
Sawa mzee wang nimekosaa[emoji120]Jaribu kudadavua acha dharau kijana.
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] hamna kaka post yenyw sio yangu nimereply kwa kukurupuka tuHawa ni matapeli wanatutega!
πππTayari nishapata utatuzi...
But kwa swali lako tu...
Faidika ni kampong inay9jihusisha na mikopo kwa watumishi wa serikali tu