Msaada: Dar to Iringa na Boxer naombeni uzoefu wenu

Msaada: Dar to Iringa na Boxer naombeni uzoefu wenu

Sikushauri hasa kipindi cha masika na mvua nyingi kama hiki, nakushauri jaribu kiangazi... Boxer inaweza kuteleza hasa kama mvua itakua imenyesha na pia chain haitaki maji Kwa umbali mrefu, utajikuta chain imekatika njiani afu usiku.. hakuna rangi utakayoiacha kuiona...
 
Nunua zile feni za kichina iweke mbele ya engine pale maana sijui hali itakuaje😂
 
Sikushauri hasa kipindi cha masika na mvua nyingi kama hiki, nakushauri jaribu kiangazi... Boxer inaweza kuteleza hasa kama mvua itakua imenyesha na pia chain haitaki maji Kwa umbali mrefu, utajikuta chain imekatika njiani afu usiku.. hakuna rangi utakayoiacha kuiona...
Manina mpaka rangi ya gold asee

Kikubwa jamaa fuata ushauri wa Huyu mtu [emoji115]
 
Kuna mwingine alisafiri na pikipiki toka Dar hadi bukoba kwa wazazi wake lengo alike nayo na kurudi nayo.

Alipofika nayo bukoba baba yake akamuuliza kwa hiyo unesafiri na hii pikpiki toka dar hadi hapa bukoba akasema ndiyo.Akampa mkono kumpongeza akasema hongera sana wewe jasiri uko vizuri.Akatoka akaenda kuchukua gongo la mti akaanza kumpiga nalo kwa nguvu akamwambia mbwa wewe kwa nini uhatarishe msisha yako na lipikipiki mwendo wote huo ukipita mipori nk unataka kutuletea msiba hapa.Hiyo hela ya mafuta si ungepanda ndege.Akamtandika na akachoma na pikipiki yenyewe moto

Toka siku hiyo hadi leo hawaongei na baba yake.
 
Mi naona ungefanya utafiti wa watengeneza boksa

Ujue boksa inatembea umbali upi bila kupumzika then tafuta kilometer za dar to iringa
 
Sawa ila it is not a very good idea.kuna risk nyingi zilizojificha.
 
Kuna mwingine alisafiri na pikipiki toka Dar hadi bukoba kwa wazazi wake lengo alike nayo na kurudi nayo.

Alipofika nayo bukoba baba yake akamuuliza kwa hiyo unesafiri na hii pikpiki toka dar hadi hapa bukoba akasema ndiyo.Akampa mkono kumpongeza akasema hongera sana wewe jasiri uko vizuri.Akatoka akaenda kuchukua gongo la mti akaanza kumpiga nalo kwa nguvu akamwambia mbwa wewe kwa nini uhatarishe msisha yako na lipikipiki mwendo wote huo ukipita mipori nk unataka kutuletea msiba hapa.Hiyo hela ya mafuta si ungepanda ndege.Akamtandika na akachoma na pikipiki yenyewe moto

Toka siku hiyo hadi leo hawaongei na baba yake.
Na tangu hapo ningechoma nyumba yake na undugu ungekua umekufa kihivyo.
 
Mi naona ungefanya utafiti wa watengeneza boksa

Ujue boksa inatembea umbali upi bila kupumzika then tafuta kilometer za dar to iringa
Boxer mbeya dar masaa kumi kasoro
 
Safari yako inawezekana kwa asilimia 98 ukiachana na vitisho.

Amka asubuhi winda basi za kwenda mbeya au iringa kisha fatana nayo hapo mikumi au gari za mafuta ilio njema fatana nayo.

Boxer ipo vizuri ila kikubwa hakikisha unaipa serves ya kutosha na cha kuzingatia ni oili badirisha kila unapo taka kufanya safari ndefu.

Hata ukitaka kufika mbeya unafika fresh
 
Wataalam za wakati huu..

Kijana wenu hapa nayependa Road trip but kwa pikipiki, last time nilisafiri na pikipiki cc110 kutoka Dar to Dodoma (kwenda na kurudi) pia nikasafiri tena toka Dar to Tanga (kwenda na kurudi).

Safari zote zilikuwa safi sana hakuna changamoto niliyokutana nayo toka naondoka Dar hadi nafika Tanga na Dodoma.

Sasa now nimepata nafasi nataka nisafiri kwenda Iringa lakini nataka nisafiri na Boxer 125, sijawai kutumia Boxer 125 safari ndefu ila hii ndo itakuwa mara yangu ya kwanza kutumia Boxer safari ndefu.

Nimepanga kuondoka Jumamosi Asubuhi na nirejee Dar jumatano sababu nikitoka Iringa nataka nipitie njia ya Dodoma.

Naombeni ujuzi wenu wa barabara ya Iringa na madhira ya Boxer safarini ikoje.

NB: Napenda sana kusafiri kutumia pikipiki inshort ipo kwenye damu sema huwezo wa kununua yale makubwa ndo sina ila Mungu akijalia one day nitakua nalo kubwa.

Nina hela ya kutosha ya Kubanda Bus ila kwangu mimi Pikipiki ni Amani na ninafanya Adventure
Ulitumia masaa mangapi kwenda Dodoma-Dar
 
Kuna mwingine alisafiri na pikipiki toka Dar hadi bukoba kwa wazazi wake lengo alike nayo na kurudi nayo.

Alipofika nayo bukoba baba yake akamuuliza kwa hiyo unesafiri na hii pikpiki toka dar hadi hapa bukoba akasema ndiyo.Akampa mkono kumpongeza akasema hongera sana wewe jasiri uko vizuri.Akatoka akaenda kuchukua gongo la mti akaanza kumpiga nalo kwa nguvu akamwambia mbwa wewe kwa nini uhatarishe msisha yako na lipikipiki mwendo wote huo ukipita mipori nk unataka kutuletea msiba hapa.Hiyo hela ya mafuta si ungepanda ndege.Akamtandika na akachoma na pikipiki yenyewe moto

Toka siku hiyo hadi leo hawaongei na baba yake.
Hahahaa......nimecheka sana.

Wazee wengine wakorofi sana
 
Kuna mwingine alisafiri na pikipiki toka Dar hadi bukoba kwa wazazi wake lengo alike nayo na kurudi nayo.

Alipofika nayo bukoba baba yake akamuuliza kwa hiyo unesafiri na hii pikpiki toka dar hadi hapa bukoba akasema ndiyo.Akampa mkono kumpongeza akasema hongera sana wewe jasiri uko vizuri.Akatoka akaenda kuchukua gongo la mti akaanza kumpiga nalo kwa nguvu akamwambia mbwa wewe kwa nini uhatarishe msisha yako na lipikipiki mwendo wote huo ukipita mipori nk unataka kutuletea msiba hapa.Hiyo hela ya mafuta si ungepanda ndege.Akamtandika na akachoma na pikipiki yenyewe moto

Toka siku hiyo hadi leo hawaongei na baba yake.
Eti ulitaka kutuletea Msiba....
 
Wataalam za wakati huu..

Kijana wenu hapa nayependa Road trip but kwa pikipiki, last time nilisafiri na pikipiki cc110 kutoka Dar to Dodoma (kwenda na kurudi) pia nikasafiri tena toka Dar to Tanga (kwenda na kurudi).

Safari zote zilikuwa safi sana hakuna changamoto niliyokutana nayo toka naondoka Dar hadi nafika Tanga na Dodoma.

Sasa now nimepata nafasi nataka nisafiri kwenda Iringa lakini nataka nisafiri na Boxer 125, sijawai kutumia Boxer 125 safari ndefu ila hii ndo itakuwa mara yangu ya kwanza kutumia Boxer safari ndefu.

Nimepanga kuondoka Jumamosi Asubuhi na nirejee Dar jumatano sababu nikitoka Iringa nataka nipitie njia ya Dodoma.

Naombeni ujuzi wenu wa barabara ya Iringa na madhira ya Boxer safarini ikoje.

NB: Napenda sana kusafiri kutumia pikipiki inshort ipo kwenye damu sema huwezo wa kununua yale makubwa ndo sina ila Mungu akijalia one day nitakua nalo kubwa.

Nina hela ya kutosha ya Kubanda Bus ila kwangu mimi Pikipiki ni Amani na ninafanya Adventure
Nafikiria kununua BMW GS 1200 kufanya adventure bongo
 
Ok mm naswali kidogo hapa jamii forum

Kuna watu wanasafiri UMBALI mrefu mfano dar Mwanza kwa pikipiki 150cc?

JE wanatumia siku ngapi kwa huo UMBALI wa km 1100


Mafuta Lita ngapi?

Changamoto za barabarani?

Asante familia
 
Back
Top Bottom