Manina mpaka rangi ya gold aseeSikushauri hasa kipindi cha masika na mvua nyingi kama hiki, nakushauri jaribu kiangazi... Boxer inaweza kuteleza hasa kama mvua itakua imenyesha na pia chain haitaki maji Kwa umbali mrefu, utajikuta chain imekatika njiani afu usiku.. hakuna rangi utakayoiacha kuiona...
Ukiona eneo lina swala,pundamilia na twiga kwa wingi jua eneo hilo halina simba na ndivyo ilivyo mikumi pembezoni mwa barabara,nimesha pita na pikipiki Kama mara mbili.Ngoja pikipiki ikuzimikie halafu simba nao hawajala msosi hapo tangu asubuhi
yaani anamaanisha akifika Iringa, arudi Dar kwa kupitia DodomaSijaelewa hapo kupita njia ya Dodoma wakati route yako ni Dar to Iringa na kurudi ni Iringa to Dar.
Wee muache afike mikumi akutne na simbaMbuga ya wanyama haikutishi?
Na tangu hapo ningechoma nyumba yake na undugu ungekua umekufa kihivyo.Kuna mwingine alisafiri na pikipiki toka Dar hadi bukoba kwa wazazi wake lengo alike nayo na kurudi nayo.
Alipofika nayo bukoba baba yake akamuuliza kwa hiyo unesafiri na hii pikpiki toka dar hadi hapa bukoba akasema ndiyo.Akampa mkono kumpongeza akasema hongera sana wewe jasiri uko vizuri.Akatoka akaenda kuchukua gongo la mti akaanza kumpiga nalo kwa nguvu akamwambia mbwa wewe kwa nini uhatarishe msisha yako na lipikipiki mwendo wote huo ukipita mipori nk unataka kutuletea msiba hapa.Hiyo hela ya mafuta si ungepanda ndege.Akamtandika na akachoma na pikipiki yenyewe moto
Toka siku hiyo hadi leo hawaongei na baba yake.
Boxer mbeya dar masaa kumi kasoroMi naona ungefanya utafiti wa watengeneza boksa
Ujue boksa inatembea umbali upi bila kupumzika then tafuta kilometer za dar to iringa
Ulitumia masaa mangapi kwenda Dodoma-DarWataalam za wakati huu..
Kijana wenu hapa nayependa Road trip but kwa pikipiki, last time nilisafiri na pikipiki cc110 kutoka Dar to Dodoma (kwenda na kurudi) pia nikasafiri tena toka Dar to Tanga (kwenda na kurudi).
Safari zote zilikuwa safi sana hakuna changamoto niliyokutana nayo toka naondoka Dar hadi nafika Tanga na Dodoma.
Sasa now nimepata nafasi nataka nisafiri kwenda Iringa lakini nataka nisafiri na Boxer 125, sijawai kutumia Boxer 125 safari ndefu ila hii ndo itakuwa mara yangu ya kwanza kutumia Boxer safari ndefu.
Nimepanga kuondoka Jumamosi Asubuhi na nirejee Dar jumatano sababu nikitoka Iringa nataka nipitie njia ya Dodoma.
Naombeni ujuzi wenu wa barabara ya Iringa na madhira ya Boxer safarini ikoje.
NB: Napenda sana kusafiri kutumia pikipiki inshort ipo kwenye damu sema huwezo wa kununua yale makubwa ndo sina ila Mungu akijalia one day nitakua nalo kubwa.
Nina hela ya kutosha ya Kubanda Bus ila kwangu mimi Pikipiki ni Amani na ninafanya Adventure
Hahahaa......nimecheka sana.Kuna mwingine alisafiri na pikipiki toka Dar hadi bukoba kwa wazazi wake lengo alike nayo na kurudi nayo.
Alipofika nayo bukoba baba yake akamuuliza kwa hiyo unesafiri na hii pikpiki toka dar hadi hapa bukoba akasema ndiyo.Akampa mkono kumpongeza akasema hongera sana wewe jasiri uko vizuri.Akatoka akaenda kuchukua gongo la mti akaanza kumpiga nalo kwa nguvu akamwambia mbwa wewe kwa nini uhatarishe msisha yako na lipikipiki mwendo wote huo ukipita mipori nk unataka kutuletea msiba hapa.Hiyo hela ya mafuta si ungepanda ndege.Akamtandika na akachoma na pikipiki yenyewe moto
Toka siku hiyo hadi leo hawaongei na baba yake.
Eti ulitaka kutuletea Msiba....Kuna mwingine alisafiri na pikipiki toka Dar hadi bukoba kwa wazazi wake lengo alike nayo na kurudi nayo.
Alipofika nayo bukoba baba yake akamuuliza kwa hiyo unesafiri na hii pikpiki toka dar hadi hapa bukoba akasema ndiyo.Akampa mkono kumpongeza akasema hongera sana wewe jasiri uko vizuri.Akatoka akaenda kuchukua gongo la mti akaanza kumpiga nalo kwa nguvu akamwambia mbwa wewe kwa nini uhatarishe msisha yako na lipikipiki mwendo wote huo ukipita mipori nk unataka kutuletea msiba hapa.Hiyo hela ya mafuta si ungepanda ndege.Akamtandika na akachoma na pikipiki yenyewe moto
Toka siku hiyo hadi leo hawaongei na baba yake.
Nafikiria kununua BMW GS 1200 kufanya adventure bongoWataalam za wakati huu..
Kijana wenu hapa nayependa Road trip but kwa pikipiki, last time nilisafiri na pikipiki cc110 kutoka Dar to Dodoma (kwenda na kurudi) pia nikasafiri tena toka Dar to Tanga (kwenda na kurudi).
Safari zote zilikuwa safi sana hakuna changamoto niliyokutana nayo toka naondoka Dar hadi nafika Tanga na Dodoma.
Sasa now nimepata nafasi nataka nisafiri kwenda Iringa lakini nataka nisafiri na Boxer 125, sijawai kutumia Boxer 125 safari ndefu ila hii ndo itakuwa mara yangu ya kwanza kutumia Boxer safari ndefu.
Nimepanga kuondoka Jumamosi Asubuhi na nirejee Dar jumatano sababu nikitoka Iringa nataka nipitie njia ya Dodoma.
Naombeni ujuzi wenu wa barabara ya Iringa na madhira ya Boxer safarini ikoje.
NB: Napenda sana kusafiri kutumia pikipiki inshort ipo kwenye damu sema huwezo wa kununua yale makubwa ndo sina ila Mungu akijalia one day nitakua nalo kubwa.
Nina hela ya kutosha ya Kubanda Bus ila kwangu mimi Pikipiki ni Amani na ninafanya Adventure