Msaada: Dawa ya Degedege

Msaada: Dawa ya Degedege

Wapendwa nakuja kwenu mnisaidie dawa ya degedege Kwa mwanangu anateseka jamani kila akipata homa hiyo hali inamkuta.

Nisaidieni nimehangaika mie jamani, ana miaka mitatu tu.

Mimi wangu nilimpeleka hospitali, nesi aliyekuwepo ni mama mtu mzima akanielekeza mahali nikanunue dawa ya kienyeji niondoke na mtoto haumwi!!

Kuna mti unaitwa mchipukizi, ukiuona ni mkavu kabisa kama umekufa. Ukikata kipande na kukiloweka masaa kama 8 kinachanua vibaya sana. Unamuogeshea hayo maji na toka hapo hakupata tena!!
 
Mimi wangu nilimpeleka hospitali, nesi aliyekuwepo ni mama mtu mzima akanielekeza mahali nikanunue dawa ya kienyeji niondoke na mtoto haumwi!!

Kuna mti unaitwa mchipukizi, ukiuona ni mkavu kabisa kama umekufa. Ukikata kipande na kukiloweka masaa kama 8 kinachanua vibaya sana. Unamuogeshea hayo maji na toka hapo hakupata tena!!
Ungepiga picha watu wauone ulivyo itawasaidia wengi mpendwa.
 
Dawa yake ni Mavi ya Tembo hii inawez kuw kweli Kabsa maan, kuna siku nilikuwa naangalia Documentary fulani Safari Tv nikaona mzee mmoja akielezea hiyo kwamb mavi ya tembo huponya Degedege,

Kwahyo kama unawez Kuhangaika huko vijijin kwa wajuzi wa madawa ya mitishamba unaweza pata Msaada.
 
Tafuta kinyesi Cha tembo, mugeshee na kumywesha Kila unapomuogesha.
Pia Kuna majani pori kwakihehe huitwa lwenyi ni kiboko ya degedege( picha ya hayo majani ni kesho)
Kwenye Lwenyi na mavi ya tembo hapo umeongea vema kabisa.. Pale kijijini dawa ndo ilikua inatumika na watoto kupona haraka sana.
 
Pole kwa kuuguza huu ugonjwa mbaya sana mwanangu alitibiwa hospitali zote kubwa Muhimbili,Tumbi,Milembe,Malumba Psychiatric hosp,Bugando zote ziligonga mwamba tanhu akiwa na miezi 6 kaja pona akiwa na miaka 8 kwa dawa za kienyeji nilihangaika sana hadi umasikini ulinikamata. Pambana ukikosa majibu nifanye kufuatilia aliyemtibu ni mzee 1 wa Iringa namba sinazo tena ila nikifuatilia naweza unganisha dot. Pole sana kwa kuuguza huo ugonjwa siyo mzuri kabisa ndg.
Nini yanaweza kuwa madhara yake asipotibiwa na kupona?
 
Tafuta kinyesi Cha tembo, mugeshee na kumywesha Kila unapomuogesha.
Pia Kuna majani pori kwakihehe huitwa lwenyi ni kiboko ya degedege( picha ya hayo majani ni kesho)
Mavi ya tembo atapata wapi mjini au maduka ya asili
 
Degedege ni dalili ya ugonjwa fulani na heri utambue degedege si ugonjwa!

Kitaalamu degedege hujulikana kama CONVULSION

Hio inaweza kuwa dalili ya magonjwa mbalimbali kama vile Malaria mbaya, Meningitis ( uvimbe katika tabaka la nje la ubongo), kifafa na nk

Usitafute dawa muwahishe hospitali apewe matibabu!!!

Sent from my iris50 using JamiiForums mobile app
Hamna dawa ya degedege hospital nimehangaika na wangu miaka 7 hola hospital zote nzito nchi hii
 
Back
Top Bottom