Revola
JF-Expert Member
- Apr 14, 2015
- 1,516
- 1,338
Ndugu zangu kuna mtoto wa jirani anaumri wa miaka miwili sasa ila tatizo ulaji wa mchangu umezidi kwa kasi sana, yani ukikaacha dk 1 tuu kwake ni golden chance kubwa sana kanabugia fastaa. Naomba yoyote mwenye maelekezo kuhusu dawa, pia afya yake imezorota minyoo wanamuendesha, ila kula mchanga haachi.
Nawasilisha.
Nawasilisha.