Msaada dawa ya kuacha pombe

Mimi nataka dawa ya kuacha nyeto
Nyeto ni mbadala wa kuingiliana baina ya me na ke. Sasa ili uache nyeto yakubidi upige sana mashine jinsia ke yani hakuna dawa wala njia nyingine ili uachane na huo mbadala unao uita nyeto. Ni ushauri fulani usio faa kwa wana dini lakini kwenda kanosani na kuomba haitoshi.

Tafuta mtu ambaye atakuwa karibu zaidi ya sabuni unayo tumia kupiga nyeto.

Vinginevyo siku misuli ya uume ikilegea na ukashindwa kupiga mashine baravara ndipp utakapo acha kuoiga nyeto bila shuruti
 
Ahsante mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…