Msaada dawa ya kuacha pombe

Msaada dawa ya kuacha pombe

Kunywa pombe ni ugonjwa hadi utake dawa?
Ulevi ni addiction na unatibiwa ili kuuacha, ulevi ni dubashwa zito sana (monster) likikuingia kujitoa ni kazi kweli kweli. Hao wanaoacha wenyewe unakuta hawajafikia level ya uraibu wa pombe.
 
Tengeneza aina fulani ya lifestyle ambayo itaku~keep busy.
Sijui umri wako ila nyeto mara nyingi inapigwa na wavulana ambao wana uwezekano mdogo wa kupata pussy.
Mwanaume kupiga nyeto ukifikiria kwa undani sana utagundua ni bonge moja la AIBU.
IACHE LEO
Nina 29
 
Addiction is not a disease, ni pyschological effect
1. The American Medical Association (AMA) classified alcoholism as a disease in 1956 and included addiction as a disease in 1987. In 2011 the American Society of Addiction Medicine (ASAM) joined the AMA, defining addiction as a chronic brain disorder, not a behavior problem, or just the result of making bad choices.

2. Is alcoholism a disease or syndrome?
Alcohol use disorder is a disease of the brain. Over-consumption literally changes brain chemistry, and as tolerance to alcohol increases, the person must use more and more to feel the same effects, further damaging both the body and brain.

Source:
i. https://iuhealth.org/thrive/is-addi...Association (AMA,result of making bad choices.

ii. https://recoverycentersofamerica.co...hol use disorder is a,both the body and brain.
 
Habar ndugu zangu, naomba msaada kwa anaefahamu dawa ya kuacha matumizi ya pombe
Mkuu Dawa ya kuacha kunywa Pombe ninayo mimi nitafute kwa wakati wako ili niweze kukutibia upate kupona .Na pia dawa ya kuacha kuvuta Sigara ninayo kwa yoyote yule mwenye hayo matatizo mawili anitafute kwa wakati wake ili niweze kumtibia apate kupona matatizo yake .
 
Kwani ulikunywa dawa ya kuanza kunywa pombe mpaka utafute dawa ya kuacha kunywa pombe?

Acha kama ulivyo anza tu.
 
Back
Top Bottom