Aisee..!!Cement iwe nyingi . kwa maana ya ratio kuwa Kali .
Kuna cement zinachelewa kukauka, kwa hiyo inategemea wewe unatumia cement ya aina gani
Tafuta chumvi aina ya calcium chloride Itasaidia hiloHabari za jioni waungwana,
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, nnashida na dawa ya kukausha zege haraka.
Mwenye kujua inapopatikana gharama zake na muda inayotumia hadi zege kukauka.
exactlyKwa nini unataka ikauke haraka? Kwanza tuanzie hapo
Hizi ziko za aina nyingi zinaitwa concrete accelerators.Habari za jioni waungwana,
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, nnashida na dawa ya kukausha zege haraka.
Mwenye kujua inapopatikana gharama zake na muda inayotumia hadi zege kukauka.