Ina maana gani kusema yote hayo wakati hutaki kutoa connection
Tra hawajui mambo hayo ya kuvuta wateja, hayo ni yako biashara ikichanganya ulipe kodi ipasavyo!Wakuu mwenye kujua dawa ya kuvuta wateja naomba connection maana kuna business yangu nimefanya kila niwezalo ili kuvuta wateja nimetoka kapa.
Biashara kama haina wateja basi kifuatacho ni kifo cha biashara ili tusifike huko ni vizuri kujaribu namna nyingine ambazo zinaweza kuleta tija.
Nahitaji dawa ya kuvuta wateja.
Jamaa anauza dagaa posta mpyaUnafanya biashara gani?
Tumia chumvi ya mawe kwanza
Mwongozo unanyunyuzia katika baishara yako mkuu.Anatumia vipi sasa? Muwe mnatoa na miongozo
TEKELEZA: Good Customer Care.Wakuu mwenye kujua dawa ya kuvuta wateja naomba connection maana kuna business yangu nimefanya kila niwezalo ili kuvuta wateja nimetoka kapa.
Biashara kama haina wateja basi kifuatacho ni kifo cha biashara ili tusifike huko ni vizuri kujaribu namna nyingine ambazo zinaweza kuleta tija.
Nahitaji dawa ya kuvuta wateja.
hahaaaaaaNenda kwa Mwamposa kachukue maji na mafuta
Tumia chumvi ya mawe iwe sehemu ya maisha Yako.Chumvi ya mawe unafanyaje mkuu?
Anauza dagaa wa kukaanga MASAKI AU OYSTER BAYJamaa anauza dagaa posta mpya
Afu anataka avute wateja
Ishu ni dawa kama una uhakika inaweza kupatikana unanipa connection ya mganga mi ntamalizana naye mabus ni mengi sanaKama utaweza kufika simiyu niambie nikupe ramani.
Nauza dagaa wa kukaanga ili si kusema oyster bay wala masaki acha unafikiAnauza dagaa wa kukaanga MASAKI AU OYSTER BAY
Tafuta mdada wa kinyatulu mzuri mwenye mvuto umwajiri sababu inawezekana sura yako nayo inatisha wateja.Wakuu mwenye kujua dawa ya kuvuta wateja naomba connection maana kuna business yangu nimefanya kila niwezalo ili kuvuta wateja nimetoka kapa.
Biashara kama haina wateja basi kifuatacho ni kifo cha biashara ili tusifike huko ni vizuri kujaribu namna nyingine ambazo zinaweza kuleta tija.
Nahitaji dawa ya kuvuta wateja.
tafuta mvumbasi na chumvi ya mawe loweka usiku kucha asubuhi kadekie maji yakeWakuu mwenye kujua dawa ya kuvuta wateja naomba connection maana kuna business yangu nimefanya kila niwezalo ili kuvuta wateja nimetoka kapa.
Biashara kama haina wateja basi kifuatacho ni kifo cha biashara ili tusifike huko ni vizuri kujaribu namna nyingine ambazo zinaweza kuleta tija.
Nahitaji dawa ya kuvuta wateja.
Ila zingatia maokoto pisi kali nazo ukiziamini sana utakuta mababuwa. Maana zina bodaboda waoTafuta pisikali moja yenye chuchu saa sita na wezera la haja awe anakaa tu hapo kwenye biashara hata kama sio muuzaji.
Utaona mabaradhuli watakavyojaa kununua ili watongoze.
Hakikisha anavaa kimtego.