Msaada dawa ya kuvuta wateja

Tra hawajui mambo hayo ya kuvuta wateja, hayo ni yako biashara ikichanganya ulipe kodi ipasavyo!
 
Tafuta kobe dume, chimba shimo mbele ya biashara yako la kiasi, pawe kwako usifanye kwenye nyumba ya kupanga, baada ya kuchimba shimo muweke kobe awe anatizama dukani kwako,weka udongo kiasi, mwaga chumvi mawe, fukia udongo kiasi, yapange mayai manane ya kuku mweupe kienyeji fukia kiasi, panda juu mti wa mvuma nyuki, omba unavyotaka, ukipenda waweza sema mji wote uhamie hapa na pawe mjini, yote juu yako, tunza mti wako vile ukuavyo ndivyo utakavyojionea maajabu,
#Nigerian cults!
Caution, this mixture create an unseen creature!
 
TEKELEZA: Good Customer Care.

EPUKA: Customer Kero.
 
Tafuta mdada wa kinyatulu mzuri mwenye mvuto umwajiri sababu inawezekana sura yako nayo inatisha wateja.
 
tafuta mvumbasi na chumvi ya mawe loweka usiku kucha asubuhi kadekie maji yake
 
Tafuta pisikali moja yenye chuchu saa sita na wezera la haja awe anakaa tu hapo kwenye biashara hata kama sio muuzaji.

Utaona mabaradhuli watakavyojaa kununua ili watongoze.

Hakikisha anavaa kimtego.
Ila zingatia maokoto pisi kali nazo ukiziamini sana utakuta mababuwa. Maana zina bodaboda wao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…