prof kisambuka
Senior Member
- Mar 13, 2015
- 132
- 137
Habari ya majukumu JF.
Nina rafiki yangu wa karibu(mwanaume) ni mtanashati (handsome) sana lakini ana tatizo la kuwa na makalio makubwa sana jambo ambalo limekua likimuondolea ujasiri (confidence) mbele za watu na hata mbele za wanawake. Anashindwa kuvaa nguo za kuchomekea kwa hofu ya mchomozo wa makalio.
Nimewahi kumshauri afanye mazoezi lakini pamoja na kujitahidi kufanya mazoezi sana na kupungua mwiil kwa kiasi kikubwa lakini makalio hayapungui kwa kiasi kikubwa kama mwili unavyopungua.
Ombi kwa anayejua dawa yoyote nzuri ya kupunguza makalio atakuwa msaada kwa rafiki yangu na watanzania wengine wenye matatizo kama hayo ambao hawajui tiba.
==========
Nina rafiki yangu wa karibu(mwanaume) ni mtanashati (handsome) sana lakini ana tatizo la kuwa na makalio makubwa sana jambo ambalo limekua likimuondolea ujasiri (confidence) mbele za watu na hata mbele za wanawake. Anashindwa kuvaa nguo za kuchomekea kwa hofu ya mchomozo wa makalio.
Nimewahi kumshauri afanye mazoezi lakini pamoja na kujitahidi kufanya mazoezi sana na kupungua mwiil kwa kiasi kikubwa lakini makalio hayapungui kwa kiasi kikubwa kama mwili unavyopungua.
Ombi kwa anayejua dawa yoyote nzuri ya kupunguza makalio atakuwa msaada kwa rafiki yangu na watanzania wengine wenye matatizo kama hayo ambao hawajui tiba.
==========
Biologically mwili wa binadamu una hormone mbili znazo deal na kuratibu umbile la kiume na la kike. Nazo ni oestrogen na testosterone. Achilia mbali progesterone, hii uhusika zaidi na pregnancy maintenance.
Tukianza na testosterone, hii hustimulate zaidi male sex parts pia development of muscle na kazi zingine lakini pia male ana secrete oestrogen in small amount ambayo inasaidia some balancing kwa mwanaume lakini ndo inayohusika sana kwenye development ya sex parts za females kama breast, hips na makalio.
Hivyo kama kutakuwa na production kubwa ya oestrogen kwa mwanaume badala ya testosterone kutapelekea mwanaume huyo kuanza kudevelop zaidi makalio pia mwangalie hips zake zitakuwa proportional pia hata akifanya sana mazoezi mfano gym hawezi kuwa na development nzuri ya muscles coz of production ya testosterone si kubwa sana.
Ushauri: Apunguze kutumia vyakula vinavyostimulate production ya oestrogen. Mojawapo apunguze utumiaji wa sukari kwa wingi, white bread na vyakula vingine. But atumie zaidi vyakula vinavyoongeza production ya testosterone kama groundnuts na jamii yake, mbegu za matikiti maji. Hivyo ni baadhi tu, pia anaweza visit hospital 4 more advice.