Umemaliza[emoji109]98% ya wanadamu duniani wanaishi na mijusi majumbani bila tatizo lolote. Kazi yao kubwa ni kuua insects [emoji219][emoji1652] ndani. Hawa ni mijusi weupe, namna ya kuwaepuka hawa ni kutowafikiria kabisa na kuwachukulia kama wasaidizi ndani hutapata tabu. Kujaribu kupingana nao kuna madhara zaidi ya kuishi nao.
Ukizuwia mbu, nzi na wadudu warukao kuingia kwako utakuwa umewakimbiza mijusi.Natafuta dawa ya kuzuia mijusi isiingie ndani ya nyumba
Wewe jamaa umetisha! Yaani kuishi na mijusi ndani ya nyumba unaona sawa? Kiafrika Africa mijusi ni mashetani na mizimu ya kwenu inakufuatilia! Mimi niliiua yote na kakijitokeza kakiniona kanakimbia!98% ya wanadamu duniani wanaishi na mijusi majumbani bila tatizo lolote. Kazi yao kubwa ni kuua insects ππ¦ ndani. Hawa ni mijusi weupe, namna ya kuwaepuka hawa ni kutowafikiria kabisa na kuwachukulia kama wasaidizi ndani hutapata tabu. Kujaribu kupingana nao kuna madhara zaidi ya kuishi nao.
Hamna dawa labda uuwe kwa manati kama mimi nikimwona tuu namshusha kwa manatiNatafuta dawa ya kuzuia mijusi isiingie ndani ya nyumba