Msaada: Dawa ya ulimi baada ya 'kudeki bahari'

Msaada: Dawa ya ulimi baada ya 'kudeki bahari'

Unaweza kuwa unaanza kwa kumnyunyiza maziwa ya mgando ili ku neutralize hiyo low pH yake na kutengeneza chumvi na maji. Hii inarekebisha pH imbalance, inaongeza chumvi chumvi na kuleta ulaini na utelezi wa maji, pia Heat of Neutralization hupandisha jotoridi la eneo.
 
Utakatika huo umeambukizwa fungus dume, wenzako wakitaka kupiga deki hupeleka wenyewe bafuni kupiga sop sop ya nguvu na hawazamishi mpaka mashavu na pua....sasa wewe ndugu yangu loh! Bado kunuka uchi mdomoni, harufu kali kuzidi kikwapa itabidi utembee na mask ya mdomoni

Duh...kazi ipo
 
mbona madada hawasapot hiliiiii.....😕😕😕 au ndo vo ten
 
kunywa juice ya tende mkuu japo kw wiki mara 4.. then nunua tende zenyew uwe unakula kila cku at kila wakat.nivzur unywe na maziwa y moto..
 
Nadhani unahitaji maombi wewe,maaba kizama chumvini si akili ya kawaida Sana,Labda Kama huwa unakiwa gauge kwanza
 
Wanaume tumeumbwa mateso yani shida yote hiyo ni kuonesha ufundi. Ila pole sana kaka usione soo tafuta hospitali ya mbali kidogo na mtaa wako basi.
 
Back
Top Bottom