Killa Cam
JF-Expert Member
- Jun 12, 2022
- 2,264
- 6,679
Asante kwa ufafanuziIli mchagulie cha kingereza zaidi unajua mie natumia startimes amekataa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante kwa ufafanuziIli mchagulie cha kingereza zaidi unajua mie natumia startimes amekataa
Nielekeze basi jamani weweKibongo bongo DSTV bado anawaburuza. Ila ni bora tu uweke fibre ulipie netflix au showmax kama unaweza maana movie nyingi za dstv unakuta ushazitazama
Nielekeze basi jamani wewe
Ili kuonesha msisitizo..Kwanini usiweke nina best yangu tu. Kwanini mpaka uweke mzungu?.
Kuunganisha fibre unachukua hatua ganisijaelewa unataka nikuelekeze kitu gani ndio maana nikauliza unataka nikueleke nini?
Inategemea na location, kuna fiber ya ZUKU, TTCL naona Tigo nadhani wengine pia. Kama si fiber hata superkasi inafaa. Hiyo ni internet unllimeted. Sasa hapo ukiwa na smart tv unapakua app ya netflix japo smart TV nyingi zinakuja nayo unafungua akaunti kutokana na uwezo wako watakueleza packages za akaunti Basi unakuwa unastream. So fiber ni kwa ajili ya internet ya kuweza kuaccess NEtflix au showmax japo pia showmax unaweza kulipa ukawa unaifikia via dstv ukitaka bila kuhitaji internet.Kuunganisha fibre unachukua hatua gani
🤣🤣🤣🤣 sasa je!!ataangalia Hello Mr right
teNamzungu best yangu kanitext ananiuliza which is the best dish for me to buy so i can watch movies and other good stuff
Kama yupo mbali na fibre wire anunue Router hizi za Voda, Airtel au Tigo.Inategemea na location, kuna fiber ya ZUKU, TTCL naona Tigo nadhani wengine pia. Kama si fiber hata superkasi inafaa. Hiyo ni internet unllimeted. Sasa hapo ukiwa na smart tv unapakua app ya netflix japo smart TV nyingi zinakuja nayo unafungua akaunti kutokana na uwezo wako watakueleza packages za akaunti Basi unakuwa unastream. So fiber ni kwa ajili ya internet ya kuweza kuaccess NEtflix au showmax japo pia showmax unaweza kulipa ukawa unaifikia via dstv ukitaka bila kuhitaji internet.
Hivyohivyo vinatosha, mkuu. Achukue mali. 😀Hiki kwangu ukiondoa chaneli za
Nat geo wild
Discovery
Tanzania safaris
Kung fu
Hakuna lingine la maana ninaloona wanalo.
ndugu yangu anacha na dish kama una tv yako smart inatumia android. nichek nikupe app inakuja na channel 260 tv live za marekani na uingereza, hapo pia nakupa na app za kuangalia movies zote mpya kikubwa tu we na internet tu.Namzungu best yangu kanitext ananiuliza which is the best dish for me to buy so i can watch movies and other good stuff