selestin john
Member
- Jan 20, 2012
- 67
- 8
Wana JF,
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 22 na mnamo 11/12/2012 nilipata ajari ya kuangukiwa na kitu kizito pajani karibu na goti na nilipopelekwa hospitali walinipatia dawa za kutumia tu na kuniambia niwe nakwenda kufanya mazoezi hospitalini hapo .
Lakini umepita muda mwingi sana hakuna unafuu kwa sababu mguu naweza kutembea kwa kuchechemea kidogo na siwezi kukunja mguu unajikunja kidogo tu na ni kama umekuwa mfupi hivi.
Naomba kama kuna mtu anamfahamu dokta bingwa wa mifupa anijuze niweze kuonana nae nitambue kama matibabu yanawezekana na gharama zake zinakuwaje?
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 22 na mnamo 11/12/2012 nilipata ajari ya kuangukiwa na kitu kizito pajani karibu na goti na nilipopelekwa hospitali walinipatia dawa za kutumia tu na kuniambia niwe nakwenda kufanya mazoezi hospitalini hapo .
Lakini umepita muda mwingi sana hakuna unafuu kwa sababu mguu naweza kutembea kwa kuchechemea kidogo na siwezi kukunja mguu unajikunja kidogo tu na ni kama umekuwa mfupi hivi.
Naomba kama kuna mtu anamfahamu dokta bingwa wa mifupa anijuze niweze kuonana nae nitambue kama matibabu yanawezekana na gharama zake zinakuwaje?