Msaada:Domain Name

payuka

JF-Expert Member
Joined
Jun 17, 2010
Posts
829
Reaction score
127
Wana JF, naombeni Msaada wa mtu mwenye kujua taratibu pamoja na Gharama Zinazohitajika Ku-register Domain Name inayoishia na dot com, au ya .co.tz .....Nitashukuru zaidi kama nitajulishwa na taratibu nzuri za kufuata Kutengenezewa Website

Asanteni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…