Mimi toka enzi na enzi hadi leo, nikiumwa malaria naponea dawa ya Metacelfin vidonge viwili.Nikiumwa malaria huwa napona kwa Artesnate Injection. Madawa mengine yote yalishanikataa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi toka enzi na enzi hadi leo, nikiumwa malaria naponea dawa ya Metacelfin vidonge viwili.Nikiumwa malaria huwa napona kwa Artesnate Injection. Madawa mengine yote yalishanikataa.
Kweli kabisa Mseto unasaidia kuepuka kuumwa mara kwa mara MalariaMseto mi namezaga kwa kutumia maziwa,mwaka wa 8 huu mungu kajalia sijaumwa marelia