Mseto hua nazimeza bila Panadol wala dawa nyingine ya maumivu
Japo nilipomeza kwa mara ya kwanza nilipata dalili kama zako kwa ile siku ya kwanza niliendelea na dozi maana kwanza nilikua apacha alolo so sikua na plan B
Baada ya hapo sikuwahi pata tena hiyo side effects