Mcharo son
JF-Expert Member
- Mar 4, 2015
- 4,718
- 3,804
Haya tufanye mm ngumbaru, tuendelee na madaHarafu ndo kiswahili cha hapo kwenu wewe na mama ako? Jifunze kwanza kuandika vizuri ngumbaru wewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya tufanye mm ngumbaru, tuendelee na madaHarafu ndo kiswahili cha hapo kwenu wewe na mama ako? Jifunze kwanza kuandika vizuri ngumbaru wewe
Ni mtaa wa gogo na nalung'ombe ukiwa sokoni kariakoo ukiwapigia rahisi kukuelekeza nitakupa nambaTupe hilo chimbo mtaalamu
Weka hiyo namba sasaNi mtaa wa gogo na nalung'ombe ukiwa sokoni kariakoo ukiwapigia rahisi kukuelekeza nitakupa namba
Hii haiwezi saidia maana hata brass haikamati sumakuNenda na sumaku, weka kwenye hzo rod. Isiponasa ujue ni yenyewe. Ikinasa ujue ni chuma hicho.
Hata akilipa hiyo 25,000 atajuajr kama hiyo earth road ni piwa copper??Kuna watu huwa mna upumbavu na ungumbaru uliopitiliza. Yani kuchagua kati ya kulipia 8k na 25k mpaka uje uombe ushauri humu?
Yani 25k imekuwa nyingi kiasi hiko? Acheni ujinga na upumbavu wa kujaza nyuzi zisizo na kichwa wala miguu. Lipa 25k utuondolee ujinga wako
Atapeleka pale maabara za TBS wakaipimeHata akilipa hiyo 25,000 atajuajr kama hiyo earth road ni piwa copper??
Uendelee na nani!? Acha upumbavuHaya tufanye mm ngumbaru, tuendelee na mada
Hata mimi nimejifunza kipimo ni sumakuHarafu kuna mtu ana-like comment kama hii. Kuuliza sio ujinga, kama unaona muelewa sana na huna shida ya kutoa msaada pita kando kimyaa, sio kudondosha uharo hapa..
Mimi binafsi nimefaidika na uzi huu kujua namna ya kujua ipi fake na ipi OG kwa kutumia sumaku, nipo katika ujenzi, hii imenisaidia.. Wengi tumenufaika, waliokhereka watakua wauza bidhaa fake.
Wewe kuja juzi tu humu umeanza kutukana watu?Kuna watu huwa mna upumbavu na ungumbaru uliopitiliza. Yani kuchagua kati ya kulipia 8k na 25k mpaka uje uombe ushauri humu?
Yani 25k imekuwa nyingi kiasi hiko? Acheni ujinga na upumbavu wa kujaza nyuzi zisizo na kichwa wala miguu. Lipa 25k utuondolee ujinga wako
Una uhakika nimekuja juzi wewe pundamilia ?Wewe kuja juzi tu humu umeanza kutukana watu?
Matumizi ya kawaida ila bill ya umeme ni kubwa. Earth rod ikichoka inaweza kusababisha hilo tatizoUna uhakika nimekuja juzi wewe pundamilia ?
Kuna 100% na ambayo ni copper imechanganywa na chuma ambayo huwa zinakuja shika kutu.Kipi kinaifanya hii iwe original na nyingine iwe feki? Bei?
Kupitia huu uzi kuna wachangiaji watatoa elimu ambayo itamsaidia yeye na wengine kujifunza.Kuna watu huwa mna upumbavu na ungumbaru uliopitiliza. Yani kuchagua kati ya kulipia 8k na 25k mpaka uje uombe ushauri humu?
Yani 25k imekuwa nyingi kiasi hiko? Acheni ujinga na upumbavu wa kujaza nyuzi zisizo na kichwa wala miguu. Lipa 25k utuondolee ujinga wako
Wewe chukua tu itatumika miaka kadhaa ikiisha uwezo unatupa unafunga mpya.Kiufupi zote ni fake maana zinanasa na sumaku ...kupata eath rod og wa bei hizo hapo juuu ni uongoo