Msaada . Eti Punyeto Inaweza Kusababisha Maumivu Makali ya Mgongo wa Chini?

Msaada . Eti Punyeto Inaweza Kusababisha Maumivu Makali ya Mgongo wa Chini?

Punyeto pia ndo chanzo cha tezi dume
Mkuu, hii ina ukweli wo wote kisayansi? Kama ni hivi basi wanachama wengi wa CHAWAPUTA wajiandae huko mbele ya safari. Mzee wa viwango si ameondoshwa na tezi dume ama? JK anakwenda John Hopkins kufanyiwa upasuaji wa tezi dume watu wanamcheka kumbe ndiyo njia sahihi. Actually wanashauri kila mwanaume aliye above 40 yrs ni lazima aanze kuwa na umakini hasa akianza kuona dalili za wazi.
 

Pengine hii ingefaa iwekwe kwenye jukwaa la JF Doctor lakini naamini hapa MMU ndiyo nitapata jibu la moja moja kwa sababu memba wengi wa kile chama mashuhuri cha CHAWAPUTA wapo hapa. Kwa hiyo mods naomba please msiuhamishe uzi huu kwenda JF Doctor.

Ishu iko hivi: First born (mvulana) wa kakangu mkubwa yupo kidato cha nne na anaendelea na mitihani yake kwa sasa. Cha ajabu ni kwamba anasumbuliwa sana na maumivu ya mgongo kiasi kwamba hawezi kukaa kwa muda mrefu na wakati mwingine inabidi wamletee godoro au mkeka hapo hapo kwenye ukumbi wa mitihani ili aandike huku akiwa amelala.

Babake amehangaika sehemu mbalimbali lakini madaktari hawajagundua tatizo lolote. X-rays za mgongo na vipimo vingine vinaonyesha dogo hana tatizo. Mpaka wengine wamefikia hata kusema kuwa pengine ana tatizo la kisaikolojia tu au eti karogwa.

Juzi juzi hapa daktari mmoja akatushauri tumuulize huyu dogo kama huwa anaungurumisha mapunyeto kwa angalau mara 10/wiki. Daktari anasema kwa wavulana mapunyeto yakizidi sana yanaweza kuharibu baadhi ya neva huko chini na kusababisha maumivu makali ya mgongo pamoja na matatizo mengine kama ugumba.

Swali langu ni kwamba kuna memba ye yote mwaminifu wa CHAWAPUTA hapa ambaye ameshakumbana na tatizo hili la kuumwa na mgongo wa chini kiasi cha kushindwa kukaa kabisa (kwa sababu ya mapunyeto)? Na kama yupo alifanyeje ndiyo akapona?

Angalizo: Ni kweli nilimuuliza dogo na akakiri kuwa huwa anaungurumisha mapunyeto sana japo sasa anadai kuwa amepunguza. Nilipombana akasema huko nyuma alikuwa anakwenda trip mbili hadi tano kwa siku. Ni kweli anaweza kuwa ameathirika kiasi cha kushindwa kukaa?

Tumepanga kumpeleka kwa wanasaikolojia na watu wa therapy mara tu akimaliza mitihani yake.

Asanteni!
Aisee!
 
Sikweli uoni hafifu.kuchoka.maumivu ya misuli. Naongea kama mzee wa chaputa mtaafu hadi nilipo fumwa namtu kutahamaki naona mtu kasimama mbele yangu sina habari ilikua aibu halafu alikua ni mwanamke.hata sikujua amenitizama muda mrefu kiasi gani, dogo mpelekeni kwa wataalamu
 
Wamemroga wabongo nyoso sana how come ugonjwa usionekane bhana
 
Mkuu semens zinazalishwa kwenye bone marrow? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hii naskia kwako kwa kweli ! Kwa mimi nijuavyo huwa zinazalishwa kwenye prostate gland na seminal vessicles .ila bone marrows huwa zinazalisha fluid ambayo ina similar properties na semens na madaktari bingwa hukoo marekani ndiyo wanafuatilia kama kuna uwezekano wa kufanya IVR(invitro fertilization) kwa kitumia bone marrow fluid kama medium ya kuwekea sperms .
Shahawa inatengenezwa na vitu vingi na moja ya vitu hvy ni semen ,semen ni fluid ambayo hutengenezwa kwenye bone marrow,unavyopiga nyeto basi mfululizo basi utapoteza idadi kubwa ya semen..ni kama vile grisi kwenye baiskeli pindi inapoisha ukakamavu hutokea hvy hvy kwenye mifupa ,semen ni kama grisi vile kwenye chuma

Dawa ni kula chakula kwa wingi ili semen zizalishwe kwa wingi ..na aache nyeto kwa muda wa wki 2,3 halafu ale msosi atarudi kwenye hali yake ya kawaida

Sent using Jamii Forums mobile app
 
First born wa kaka yako yupo kidato cha nne kwa nini unatudanganya na kusema upo na 76years ? For what purposes
 

Pengine hii ingefaa iwekwe kwenye jukwaa la JF Doctor lakini naamini hapa MMU ndiyo nitapata jibu la moja moja kwa sababu memba wengi wa kile chama mashuhuri cha CHAWAPUTA wapo hapa. Kwa hiyo mods naomba please msiuhamishe uzi huu kwenda JF Doctor.

Ishu iko hivi: First born (mvulana) wa kakangu mkubwa yupo kidato cha nne na anaendelea na mitihani yake kwa sasa. Cha ajabu ni kwamba anasumbuliwa sana na maumivu ya mgongo kiasi kwamba hawezi kukaa kwa muda mrefu na wakati mwingine inabidi wamletee godoro au mkeka hapo hapo kwenye ukumbi wa mitihani ili aandike huku akiwa amelala.

Babake amehangaika sehemu mbalimbali lakini madaktari hawajagundua tatizo lolote. X-rays za mgongo na vipimo vingine vinaonyesha dogo hana tatizo. Mpaka wengine wamefikia hata kusema kuwa pengine ana tatizo la kisaikolojia tu au eti karogwa.

Juzi juzi hapa daktari mmoja akatushauri tumuulize huyu dogo kama huwa anaungurumisha mapunyeto kwa angalau mara 10/wiki. Daktari anasema kwa wavulana mapunyeto yakizidi sana yanaweza kuharibu baadhi ya neva huko chini na kusababisha maumivu makali ya mgongo pamoja na matatizo mengine kama ugumba.

Swali langu ni kwamba kuna memba ye yote mwaminifu wa CHAWAPUTA hapa ambaye ameshakumbana na tatizo hili la kuumwa na mgongo wa chini kiasi cha kushindwa kukaa kabisa (kwa sababu ya mapunyeto)? Na kama yupo alifanyeje ndiyo akapona?

Angalizo: Ni kweli nilimuuliza dogo na akakiri kuwa huwa anaungurumisha mapunyeto sana japo sasa anadai kuwa amepunguza. Nilipombana akasema huko nyuma alikuwa anakwenda trip mbili hadi tano kwa siku. Ni kweli anaweza kuwa ameathirika kiasi cha kushindwa kukaa?

Tumepanga kumpeleka kwa wanasaikolojia na watu wa therapy mara tu akimaliza mitihani yake.

Asanteni!
Pole sana mkuu
 
Back
Top Bottom