FAIDA ZAKE
1.Unawezq nunua umeme wa 20,000 ukapata faida 60,000 inategemea na bei na ubora wa kinu cha kusagia.
2.Pumba zq mqhindi ni dili sana Gunia ni 20k-30k.
3.Ukipata location nzuri unarudisha mtaji wako ndani ya miezi 8-12.
HASARA ZAKE
1.Ukiunguza mota hela itakayokutoka sio chini ya laki 5 kuisuka upya.
2.Ukiunguza mita unaweza kaa hata miezi bila kubadilishiwa so hapo unakua umekaa bila kazi.
3.Masika huwa ku a tabia ya umeme kukosa nguvu hivyo operator anaweza kuunguza mota aspokuwa makini.
4.Kuwa makini na utoaji huduma (Mfano kutoa unga wenye chenga)ukijichanganya kidogo tu wateja wanahama kurudi ni baada ya miezi.
5.Wafanyakazi kuiba mf.Anajinunulia umeme hata wa 5k ukiisha huo hela yote yake.
So far ni Biashara yangu pendwa ina faida sana Nakushauri uifanye I hope utanogewa.
Kqribu kwa maswali zaidi