Msaada: Faida na madhara ya vyandarua vyenye dawa kwa mjamzito

Msaada: Faida na madhara ya vyandarua vyenye dawa kwa mjamzito

bye bye

Member
Joined
Jul 12, 2015
Posts
8
Reaction score
2
WanaJF,

Naomba mnifahamishe faida na madhara ya hivi vyandarua vya msaada vilivyo na dawa ya kudumu kwa miaka mitano kila mama mjamzito huwa anapewa.

 
Back
Top Bottom