Msaada: Fizi zinaniuma sana

Msaada: Fizi zinaniuma sana

chimoli

Member
Joined
Jan 16, 2018
Posts
37
Reaction score
17
Habari za wakati huu wakuu. Nimengoa jino tarehe 20 december 2018 lakini mpaka dakika hii fizi inaniuma sana. Dawa nilizopewa pamoja na za maumivu zimeisha na nimeongeza zingine lakini fizi bado tatizo.

Naomba kuwasilisha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Rudi hospital kama uling'oa huko
Inawezekana kuna mabaki ya jino

Sent from my SM using Tapatalk
 
Back
Top Bottom