Dansel JF-Expert Member Joined Oct 29, 2010 Posts 249 Reaction score 59 Jun 30, 2013 #1 katika fomu yangu nliyotuma cheti cha kuzaliwa na cheti cha matokeo ya kidato cha nne,, havikupigwa muhuri,, naombeni msaada kwa anayejua nifanye nini ili nitume form mpya kutokana na kwamba mwezi mmoja umeongezwa
katika fomu yangu nliyotuma cheti cha kuzaliwa na cheti cha matokeo ya kidato cha nne,, havikupigwa muhuri,, naombeni msaada kwa anayejua nifanye nini ili nitume form mpya kutokana na kwamba mwezi mmoja umeongezwa
M Marnah JF-Expert Member Joined May 3, 2013 Posts 1,124 Reaction score 303 Jun 30, 2013 #2 Kama kwel una hakika kua wameongeza mwez mmoja tuma form mpya tena..........maana maombi yako yatakua hayajakidhi vigezo
Kama kwel una hakika kua wameongeza mwez mmoja tuma form mpya tena..........maana maombi yako yatakua hayajakidhi vigezo
M MAKAH JF-Expert Member Joined Sep 27, 2010 Posts 1,582 Reaction score 267 Jun 30, 2013 #3 wameongeza muda hadi 31 July afanye kama anavyoshauriwa hapo juu
Dansel JF-Expert Member Joined Oct 29, 2010 Posts 249 Reaction score 59 Jun 30, 2013 Thread starter #4 Marnah said: Kama kwel una hakika kua wameongeza mwez mmoja tuma form mpya tena..........maana maombi yako yatakua hayajakidhi vigezo Click to expand... je fomu zikikutwa mbili haitakuwa na shida
Marnah said: Kama kwel una hakika kua wameongeza mwez mmoja tuma form mpya tena..........maana maombi yako yatakua hayajakidhi vigezo Click to expand... je fomu zikikutwa mbili haitakuwa na shida