Majestic wolf
JF-Expert Member
- Feb 10, 2015
- 1,248
- 1,851
Nilipima miezi kadhaa iliyopita na nilikua clean . Vilevile sipigi deki mama[emoji23]Nenda hospital kubwa pia Pima HIV ili ujue mapema mkuu na kama unapenda kupiga deki papuchi au kunyonya magegedo acha Mara. Pole sana
Nilipimaga mkuuPole sana,
Pima CD4 kwanza mkuu! Hiyo hali kwa ufahamu wangu mara nyingi inawapata watu ambao kinga zao zime-compromise kutokana namatatizo mbalimbali ikiwemo, TB, AIDS au KANSA
Hospital specialist in skinHabari .
Naombeni msaada wenu wadau .Ninasumbuliwa na fungus kinywani kwa muda wa mwezi sasa. Nimetumia antifungal kibao ila hali inatulia then wanarudi tena.
Vile vile nina kama utepe flani hivi mweupe mdomoni(kama midomo ya mateja)
Msaada wenu wadau
Nenda hospital ukamuone daktari anaeitwa DVO (Dermatologist and Venereal diseases Officer)Hospital specialist in skin
AsanteHizo dawa unazotumia ndo zitakumaliza kabisa. Nenda Hosp kubwa. Halafu hili la kusema ulimi umekuwa kama mateja lifute. Mungu anaweza kukupa adhabu hapa.
AsanteNenda hospital ukamuone daktari anaeitwa DVO (Dermatologist and Venereal diseases Officer)
Lakini huenda hukumuona speacialist wa matatizo hayoAsante
Ila in hospital hukohuko nilipopata hizo dawa
Mkuu ninaweza kukutibu maradhi ya Fungus ya mdomoni nitafute kwa wakati wako.Habari .
Naombeni msaada wenu wadau .Ninasumbuliwa na fungus kinywani kwa muda wa mwezi sasa. Nimetumia antifungal kibao ila hali inatulia then wanarudi tena.
Vile vile nina kama utepe flani hivi mweupe mdomoni(kama midomo ya mateja)
Msaada wenu wadau
NakujaMkuu ninaweza kukutibu maradhi ya Fungus ya mdomoni nitafute kwa wakati wako.
Unaweza kunitafuta kwa Mawasiliano MziziMkavu Email barua ya pepe. fewgoodman@hotmail.com What's App na Viber +905344508169
Habari .
Naombeni msaada wenu wadau .Ninasumbuliwa na fungus kinywani kwa muda wa mwezi sasa. Nimetumia antifungal kibao ila hali inatulia then wanarudi tena.
Vile vile nina kama utepe flani hivi mweupe mdomoni(kama midomo ya mateja)
Msaada wenu wadau
Ndio mkuu niliambiwa ni oral candidiasis na nimetumia azithromycin, nystatin,fungicol ,na oral suspension moja hivi inaitwa metronicol hilo jina sina uhakika nalo sana, zote kwa nyakati tofautiumepima ukaambiwa ni fungus? na ni dawa gani ulizokwisha kutumia?