Majestic wolf
JF-Expert Member
- Feb 10, 2015
- 1,248
- 1,851
Habari .
Naombeni msaada wenu wadau .Ninasumbuliwa na fungus kinywani kwa muda wa mwezi sasa. Nimetumia antifungal kibao ila hali inatulia then wanarudi tena.
Vile vile nina kama utepe flani hivi mweupe mdomoni(kama midomo ya mateja)
Msaada wenu wadau
Naombeni msaada wenu wadau .Ninasumbuliwa na fungus kinywani kwa muda wa mwezi sasa. Nimetumia antifungal kibao ila hali inatulia then wanarudi tena.
Vile vile nina kama utepe flani hivi mweupe mdomoni(kama midomo ya mateja)
Msaada wenu wadau