Ze Heby
JF-Expert Member
- Jun 22, 2011
- 5,636
- 6,178
Kama ni hivyo kwanini asitengeneze salt solution akawa anaapply locally kwenye eneo lenye utata?
Mi nadhani mtoa mada ameziacha hizo fangasi hadi zikatengeneza secondary bacterial infection,nenda pharmacy kanunue dawa ambayo ni mseto wa antifungal na antibacterial
Note:Recurrent fungal infections is an indicator of immunosupression
Mi nadhani mtoa mada ameziacha hizo fangasi hadi zikatengeneza secondary bacterial infection,nenda pharmacy kanunue dawa ambayo ni mseto wa antifungal na antibacterial
Note:Recurrent fungal infections is an indicator of immunosupression