Mpaka hapo sina cha kuongeza mkuu umemshauri vyema.Unaweza ukakwepa bei ya mafuta ukaingia bei ya matengezo.
Baki Toyota hapo hapo.
Chukua (1) IST ila uko Chanika lazima utaamka siku imeibwa au imevuliwa kila kitu.
(2) Paso kama wewe dereva mzuri na utaridhika na ile shape mbaya.
(3) Runx/Alex kama haukai madongo kuinama sana.
JITU LA MIRABA MINNE
cc is 650Wadau! Ninaishi Chanika na ninafanya kazi Kariakoo. Ninamiliki Rav4 lakini naona inanielemea kutokana na kupanda kwa bei ya mafuta.
Ombi langu kwenu:-Nataka kununua gari lenye CC chache ambalo halitani-cost sana katika matumizi ya mafuta. Kupitia mawazo yenu, naweza kufikia uamuzi wa gari gani ninunue. CC 650 (gari kama Pajero mini, Suzuki Jimny) hadi CC 1500 ni muafaka zaidi.
Nawasilisha
Chukua Suzuki Jimny. Roho ya Paka ile...Wadau! Ninaishi Chanika na ninafanya kazi Kariakoo. Ninamiliki Rav4 lakini naona inanielemea kutokana na kupanda kwa bei ya mafuta.
Ombi langu kwenu:-Nataka kununua gari lenye CC chache ambalo halitani-cost sana katika matumizi ya mafuta. Kupitia mawazo yenu, naweza kufikia uamuzi wa gari gani ninunue. CC 650 (gari kama Pajero mini, Suzuki Jimny) hadi CC 1500 ni muafaka zaidi.
Nawasilisha
Kuna gari isiyotumia mafuta?Ajabu hayo magari yasiyokula mafuta unayakuta yamezimika kwa kuishiwa mafuta
Tofautisha kutumia mafuta na kula mafuta...mkuu๐๐๐Kuna gari isiyotumia mafuta?
Mafuta ya Kitimoto Vs Petrol/Diesel... Nimekuelewa mkuuTofautisha kutumia mafuta na kula mafuta...mkuu๐๐๐
Ndio, ziko zinazotumia umeme.Kuna gari isiyotumia mafuta?
Basi Sawa. Ila umeme nao umepanda bei na unakatika mara kwa mara. Yawezekena magari yanayotumia LUKU ndio yanaongoza kwa kuzimikia njianiNdio, ziko zinazotumia umeme.