rafiki yangu, ni hivi, gari inakufa kama huzingatii service, sasa kwenye gari ya hybrid kinacho ua battery ya hybid huwa ni joto. na hili joto linakua linatoka na feni ya hybrid battery kuto zungusha upepo wa kutosha kupoza batery, but hili tatizo hutokea pale filter ya hybrid fen inapokua imeziba na uchafu.. na mara nyingi before issue haijafika wakati wa kuharibika gari inakupa worning light kwenye dasboard (inaitwa triangle warning sign) ambapo ukiwa na tendency ya kusafisha filter, basi bettery itadumu mpaka utachoka gari, na kuhusu repalcement ya hybrid battery, yes bongo zinakua replaced vizuri, mara nying ikifa battery itakua imekufa cell chache, sasa waweza opt kubadili cel iliyo kufa au ukiona vipi unabadili the entire battery pack.
kuhusu filter za hybid battery kwa gari kama toyota prius au toyota acqua, utakuta sit ya nyuma kwenye sehemu ya kuegemea kuna matundu yamewekwa kwa ajili ya ventilation, sasa wengi hawajui kama yale matundu ndo fen ya hybrid inapo vuta hewa kwenda kupoza battery lakini pia ndo sehemu filter ya kuchuja vumbi inakaa.
Kuhusu mdau alivosema hapo juu inatakiwa iwe imetembea km chache, ukipata yenye km chache ni well and good, but nyingi ukipata inakua ina km 100,000+ kwakua hizi gari zinatumika kama daily commuter kwa watu wanaokua wanazimlliki, na hizi gari unakuta mtu anaendesha kilometa nyingi on original battery packs.
Hybrid toyota prius is most reliable, durable car kuliko gari zote ndogo ambazo wadau wamezitaja hapo juu . but matunzo ni muhimu.