Holly Star
JF-Expert Member
- Aug 25, 2018
- 4,327
- 8,142
Kama hicho mkuuChukua Suzuki Jimny. Roho ya Paka ile...
Suzuki jimmy 4wdKama hicho mkuuView attachment 2323353
Lita moja inenda km ngapi?Suzuki jimmy 4wdView attachment 2323355
Pajero mini ina piston 3,(cc650)Huijui Pajero mini ni miongoni mwa gari ngumu Ina engine ya piston 4 tena ukipata yenye turbo ndio bora zaidi tana katika kei car ngumu ni hii kuliko zingine kama Daihatsu Mira, Daihatsu move,Suzuki alto, Toyota pixis,
Mkuu nmesoma comments sijaona aliekushauri kufunga mfumo wa gesi kwenye hiyo rav4 yako uenjoy maisha. Wanasema kg 15(full tank) ina uwezo wa kufikisha 200kms ndio uongeze tena gesi.Wadau! Ninaishi Chanika na ninafanya kazi Kariakoo. Ninamiliki Rav4 lakini naona inanielemea kutokana na kupanda kwa bei ya mafuta.
Ombi langu kwenu:-Nataka kununua gari lenye CC chache ambalo halitani-cost sana katika matumizi ya mafuta. Kupitia mawazo yenu, naweza kufikia uamuzi wa gari gani ninunue. CC 650 (gari kama Pajero mini, Suzuki Jimny) hadi CC 1500 ni muafaka zaidi.
Nawasilisha
4a30 engine ni four cylinders inline wewe labda ulionao 3g83 engine ambayo ipo kwenye Mitsubishi minica fifth generation narudia tena engine ya 4a30 ni ngumu sana hasa ukipata yenye turbo Mitsubishi 4A3 engine - WikipediaPajero mini ina piston 3,(cc650)
Pajero Junior ina piston 4(cc1090)
Japo zinafanana sana kwa mwonekano.
Ni magari mazuri sana kwa ulaji wa mafuta
24 mkuuLita moja inenda km ngapi?
Tupe dondoo mzee wa hii issueSi uJifunze kutengeneza mafuta ya gari yako kwann uhangaike kuwachangia wao KILA siku.
Me nataka gari inayokunywa mafuta sio shida.
Natumia E85 yaani mixing ya petrol na ethanol kwa ratio ya petrol 15 na ethanol 85.
Go for passo mkuu hutojuta ni gari nzuri sana. Mm nakikiki mara ya pili sasaWadau! Ninaishi Chanika na ninafanya kazi Kariakoo. Ninamiliki Rav4 lakini naona inanielemea kutokana na kupanda kwa bei ya mafuta.
Ombi langu kwenu:-Nataka kununua gari lenye CC chache ambalo halitani-cost sana katika matumizi ya mafuta. Kupitia mawazo yenu, naweza kufikia uamuzi wa gari gani ninunue. CC 650 (gari kama Pajero mini, Suzuki Jimny) hadi CC 1500 ni muafaka zaidi.
Nawasilisha
Mafuta ya 30,000/= , 220kmWadau! Ninaishi Chanika na ninafanya kazi Kariakoo. Ninamiliki Rav4 lakini naona inanielemea kutokana na kupanda kwa bei ya mafuta.
Ombi langu kwenu:-Nataka kununua gari lenye CC chache ambalo halitani-cost sana katika matumizi ya mafuta. Kupitia mawazo yenu, naweza kufikia uamuzi wa gari gani ninunue. CC 650 (gari kama Pajero mini, Suzuki Jimny) hadi CC 1500 ni muafaka zaidi.
Nawasilisha
Hii gari kama ilivyo, unaweza kumvua tajiri kwa shilingi ngapi za Kitanzania?Suzuki jimmy 4wdView attachment 2323355
Kama uko vizuri achana na hao akina jimmy,vuta Toyota Aqua au Prius ni hybrid 1ltr unaenda km 20-35Wadau! Ninaishi Chanika na ninafanya kazi Kariakoo. Ninamiliki Rav4 lakini naona inanielemea kutokana na kupanda kwa bei ya mafuta.
Ombi langu kwenu:-Nataka kununua gari lenye CC chache ambalo halitani-cost sana katika matumizi ya mafuta. Kupitia mawazo yenu, naweza kufikia uamuzi wa gari gani ninunue. CC 650 (gari kama Pajero mini, Suzuki Jimny) hadi CC 1500 ni muafaka zaidi.
Nawasilisha
Mkuu Kalunya hapo unamaanisha hiyo Ethanol 85 inakuwa ni Lita 85 kwa 15 za petrol?.. na kutengeneza hiyo Ethanol 85 ni gharama kiaso gani?... Na Haina madhara yote kwenye mfumo wa injini?Si uJifunze kutengeneza mafuta ya gari yako kwann uhangaike kuwachangia wao KILA siku.
Me nataka gari inayokunywa mafuta sio shida.
Natumia E85 yaani mixing ya petrol na ethanol kwa ratio ya petrol 15 na ethanol 85.
Ethanol lita 85 na petrol ni lita 15 then unamix pamoja. Haina madhara engine zote za petrol zinaburn vizuri ethanol bila shida, ethanol ni clean fuel ni nyepesi kuliko petrol. Pia unaweza ukatumia pure ethanol kwenye engine yeyeto ya petrol bila kuchanganya na petrol. Mfano nchi ya Brazil wao wanatumia pure Ethanol kwenye magari yao kwa 80%.Ethanol ni pure pombe ya gongo grade one. So gharama za kutengeneza gongo inategemea na wewe una malighafi gani rahisi kwako mfano unga wa muhogo, mabaki ya takataka za mazao masokoni mfano mbogamboga na matunda yaliyoharibika. Idadi ya lita itagemeana na matumizi yako kwa wiki kwa mwezi nk. Inahifadhika mda mrefu.Mkuu Kalunya hapo unamaanisha hiyo Ethanol 85 inakuwa ni Lita 85 kwa 15 za petrol?.. na kutengeneza hiyo Ethanol 85 ni gharama kiaso gani?... Na Haina madhara yote kwenye mfumo wa injini?
Mkuu sito wekwa ndani kwa kuzalisha gongo au utaratibu upoje kwa taifa letuEthanol lita 85 na petrol ni lita 15 then unamix pamoja. Haina madhara engine zote za petrol zinaburn vizuri ethanol bila shida, ethanol ni clean fuel ni nyepesi kuliko petrol. Pia unaweza ukatumia pure ethanol kwenye engine yeyeto ya petrol bila kuchanganya na petrol. Mfano nchi ya Brazil wao wanatumia pure Ethanol kwenye magari yao kwa 80%.Ethanol ni pure pombe ya gongo grade one. So gharama za kutengeneza gongo inategemea na wewe una malighafi gani rahisi kwako mfano unga wa muhogo, mabaki ya takataka za mazao masokoni mfano mbogamboga na matunda yaliyoharibika. Idadi ya lita itagemeana na matumizi yako kwa wiki kwa mwezi nk. Inahifadhika mda mrefu.
Gongo kama nia yako ni kuuza gongo ni haramu. Kwa personal use sio ishu.Mkuu sito wekwa ndani kwa kuzalisha gongo au utaratibu upoje kwa taifa letu
mkuu sio brazil pekee yake ata united kingdom wanatumia utaona pump ina erufi e kwa % ila puma mbezi beach pia ipo hiyo hii wa magari toka UK nzuri kwao gari japan tuendelee kutumia unleaded tuangalie station zetu za pembeni ya mji mafuta yamechezewa sana ata ukiwa na gari yenye cc ndogo utalia tu tuwe makini sheli michezo mingiBrazil wao waliona waarabu wasiwapasue vichwa wakajikita kuzalisha ethanol ndo wanatumia kwenye magari yao 80%. Gari yeyeto ya petrol inatumia ethanol bila shida yeyeto hasa hizi hybrid unaweza ukatumia. Tuachane na mafuta ya Mwarabu yanakula hela zetu bure tuzalishe biofuel kwa wingi mbona raw materials tele nchini. Mafuta ya Mwarabu yanaua uchumi.