Hizo zaidi Zina umbo Baya Bora ISTKama uko vizuri achana na hao akina jimmy,vuta Toyota Aqua au Prius ni hybrid 1ltr unaenda km 20-35
Io prius g3 head gasket yake ikiungua gharama zake zipoje kui badilisha?. Maana nimeona review wanasema kuanzia ya 2000-2009 na 2016-2020 ndio nzuri ila hizi generation ya 2010-20115 ni kipengeleYes, kwa prius gen 2 price range yake ni hiyo, kimuonekano gen3 ndo nzuri ila inachangamoto ya kuunguza head gasket kwasababu ya overheating inayosababishwa na kufa kwa electric water pump...gen 2 kwakua ina mechanical water ambayo inazungushwa na belt so haifi kuzembe..
Kumbuka theme hapa ni kupunguza costs za matuta na sio appearance... appearance kama ni issue basi Prius gen 3 au prius V ndo inamuonekan poa but ni expensive.
Head gasket kimubadili si issue kabisa,. Unabadili kirahasi, kama enjine nyingmgieIo prius g3 head gasket yake ikiungua gharama zake zipoje kui badilisha?. Maana nimeona review wanasema kuanzia ya 2000-2009 na 2016-2020 ndio nzuri ila hizi generation ya 2010-20115 ni kipengele
Gharama zake.Head gasket kimubadili si issue kabisa,. Unabadili kirahasi, kama enjine nyingmgie
Mkuu hii ni kweli?Si uJifunze kutengeneza mafuta ya gari yako kwanini uhangaike kuwachangia wao KILA siku.
Me nataka gari inayokunywa mafuta sio shida. Natumia E85 yaani mixing ya petrol na ethanol kwa ratio ya petrol 15 na ethanol 85.