Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
shusha tank mwaga mafuta na kulisafisha kisha weka mapya
Tatizo hapo ni piston rings- unahitaji kubadilisha na kuweka mpya. kwa tatizo hili hata uweke plugs mpya, usafishe fuel tank, uweke fuel filter mpya- tatizo bado litabaki pale pale. Kwa uhakika zaidi perform diagnosis kwenye garage zenye hii huduma.Wakuu heshima kwenu, Jamani gari yangu salon ninabadili s plug kila wakati kwa ushauri wa mafundi lakini haichukui muda inaanza tena miss za ajabu, nimemwaga oil ila tatizo bado. kwa yeyote mwenye ujuzi tafadhali naomba msaada
shusha tank mwaga mafuta na kulisafisha kisha weka mapya
Pia kwa kuongezea hapo mkuu Rummashi, hakikisha unaweka petroli safi.
Angalia sana petroli yako unanunua wapi.
Kuna 'sheli' nyingine wanauza petroli chafu iliyochakachuliwa.
Sisitiza kuweka petroli safi wakati wote.
Tatizo hapo ni piston rings- unahitaji kubadilisha na kuweka mpya. kwa tatizo hili hata uweke plugs mpya, usafishe fuel tank, uweke fuel filter mpya- tatizo bado litabaki pale pale. Kwa uhakika zaidi perform diagnosis kwenye garage zenye hii huduma.
Wakuu heshima kwenu, Jamani gari yangu salon ninabadili s plug kila wakati kwa ushauri wa mafundi lakini haichukui muda inaanza tena miss za ajabu, nimemwaga oil ila tatizo bado. kwa yeyote mwenye ujuzi tafadhali naomba msaada
Tatizo hapo ni piston rings- unahitaji kubadilisha na kuweka mpya.
Piston rings na miss ya gari ni wapi na wapi best.
Hapo chakufanya nenda kinondoni biafra kuna garage wana tumia computer watakagua gari yako kisha utaambiwa tatizo la gari yako. Mambo ya kubuniwa tatizo sio zuri bora uwe na uhakika. Mimi nilishakua na tatizo kama lako nikaenda kumbe ilikua ni oxygen sensor ilikua imekufa.
Tatizo hapo ni piston rings- unahitaji kubadilisha na kuweka mpya.
Piston rings na miss ya gari ni wapi na wapi best.
sasa mkuu unabisha nini?? mkuu kama gari haitakuwa na compresion ya kutosha kwanini isiwe na MISS??
au unaufundi wa kukrem?
Mzee asante sana kwa kumelimisha huyo kijanasasa mkuu unabisha nini?? mkuu kama gari haitakuwa na compresion ya kutosha kwanini isiwe na MISS??
au unaufundi wa kukrem?
sasa mkuu unabisha nini?? mkuu kama gari haitakuwa na compresion ya kutosha kwanini isiwe na MISS??
au unaufundi wa kukrem?
dalili ya kwanza ya piston rings kufa ni kupandisha oil....na mwenye gari hajasema kama inakula sana oil....ikizidi unaiona hadi kwenye exhaust pipe.