Msaada gari haliwaki

Msaada gari haliwaki

Rotomoto

JF-Expert Member
Joined
Aug 22, 2017
Posts
1,016
Reaction score
2,021
Jamani poleni na majukumu

Gari limenigomea ghafla nimemwita fundi akafuatilia mafuta yanafika, akitest plug zinachoma.

Titizo bado hajalitambua akitest plug nje ya injini zinachoma akizirudishia kwenye injini tukijaribu kuwasha gari haliwaki tukitoa plug tunakuta zimeloa kuonyesha hazichomi.

Naombeni msaada litakuwa ni tatizo gani kabla fundi hajaanza ufuatiliaji ambao unaweza ukaniletea gharama zingine.

Ahsante nasubiri ushauri wenu
 
Jamani poleni na majukumu

Gari limenigomea ghafla nimemwita fundi akafuatilia mafuta yanafika, akitest plug zinachoma.

Titizo bado hajalitambua akitest plug nje ya injini zinachoma akizirudishia kwenye injini tukijaribu kuwasha gari haliwaki tukitoa plug tunakuta zimeloa kuonyesha hazichomi.

Naombeni msaada litakuwa ni tatizo gani kabla fundi hajaanza ufuatiliaji ambao unaweza ukaniletea gharama zingine.

Ahsante nasubiri ushauri wenu
Tuambia unatumia gari ip mkuu
 
Jamani poleni na majukumu

Gari limenigomea ghafla nimemwita fundi akafuatilia mafuta yanafika, akitest plug zinachoma.

Titizo bado hajalitambua akitest plug nje ya injini zinachoma akizirudishia kwenye injini tukijaribu kuwasha gari haliwaki tukitoa plug tunakuta zimeloa kuonyesha hazichomi.

Naombeni msaada litakuwa ni tatizo gani kabla fundi hajaanza ufuatiliaji ambao unaweza ukaniletea gharama zingine.

Ahsante nasubiri ushauri wenu
Ni umenunua mwenyewe au la urithi? lete majibu ili tuone cha kukushauri waweza kuta uliachiwa bedifodi la mwaka 1963 tunaangaika kukushauri mifumo ya crown.
 
Ni umenunua mwenyewe au la urithi? lete majibu ili tuone cha kukushauri waweza kuta uliachiwa bedifodi la mwaka 1963 tunaangaika kukushauri mifumo ya crown.
Ni kia cares hizi saloon ni kama nadia
 
Yaani mtengenezaji ni kia, model carens ya mwaka 2003
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ni umenunua mwenyewe au la urithi? lete majibu ili tuone cha kukushauri waweza kuta uliachiwa bedifodi la mwaka 1963 tunaangaika kukushauri mifumo ya crown.
 
Yaani upo na fundi hapo then unauliza huku. Huyo fundi kweli?
 
Yaani upo na fundi hapo then unauliza huku. Huyo fundi kweli?
Uelewa na utambuzi tumetofautiana, ameangalia plug zinapeleka moto akifunga kwenye engine akitoa anakuta zimelowa kuonyesha hazichomi, labda kuna mwingine amewahi kumbwa na tatizo kama hili anisaidie tunajua fundi wetu hawachelewi kuanza kufungua vitu.
 
Kwa haraka ni vitu 2 kimoja kati ya hicho hakipo sawa, 1. Crank sensor, 2 Knock sensor. Ie position sensor
 
Kwa haraka ni vitu 2 kimoja kati ya hicho hakipo sawa, 1. Crank sensor, 2 Knock sensor. Ie position sensor
Nashukuru sana, ngoja amalize huyu wa kompyuta ntawapa mrejesho
 
Back
Top Bottom