teac kapex
JF-Expert Member
- Jan 23, 2011
- 470
- 137
Ndg wapendwa naomba kusaidiwa juu ya tatizo nililokumbana nalo kwenye gari aina ya nissan vanete, gari hii ilikuwa nzima lkn kumetokea miss ambayo imeshindikana kutoka chanzo ni kwamba pale ilipoanza niligundua kuwa moja kati ya nozel haifanyi kazi hivyo nikaiondoa na gari ikawa vzr, baada ya siku tatu hali hiyo ikajirudia nikaona nozel nyingine sio nzr nikaitoa na gari ikawa vzr, bada ya siku chache hali ikajirudia tena nimebadilisha pampu, fuel filter, plug wire, spark plugs zote lkn tatizo liko palepale, sasa watalamu naomba msaada zaidi nimeleta mafundi 3 wote wanchofanya ni kubadili plug, waya, nozel na hakuna zaidi wanaondoka bila kuaga, natanguliza shukran.