Msaada: Gari inapungua nguvu wakati naendesha, na inakuwa slow kuchanganya

Msaada: Gari inapungua nguvu wakati naendesha, na inakuwa slow kuchanganya

FRANCIS DA DON

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2013
Posts
38,920
Reaction score
44,970
Nina kagari kangu kanatatizo kwa muda sasa, ninapokua naendesha halafu wakati niko kwenye mwendo kuna wakati engine inakua kama inajipinguza speed (Rpm) na nikiachia accelarator pedal gari inakua nzito kama inajipiga stop engine hivi kwa muda then inaacha, na pia wakati nimesimama kwenye foleni, wakati wa kuondoka gari inakuwa nzito na sluggish, yaan inachelewa kuchanganya tofauti na ilivyokuwa awali. Nilishabadilisha Curburator (Throttle body complete), 'speed sensor' za kwenye gear box, na hata 'fuel filter' ya kwenye tank la mafuta nilisafisha pia. Sasa hii hali bado inaendelea na inanikera mno, nisaidieni kwa wenye utaalam na haya mambo.
Gari ni Toyota saloon car, automatic transmission.(Brevis)
 
Usijali mkuu ngoja waje.. hopefully utapata majibu ya kuifanya Brevis etu iende kama Bombardier [emoji574]️
 
Anza tu kuanda pesa ya gearbox nyingine. Ni dalili za kifo cha gearbox
 
Nina kagari kangu kanatatizo kwa muda sasa, ninapokua naendesha halafu wakati niko kwenye mwendo kuna wakati engine inakua kama inajipinguza speed (Rpm) na nikiachia accelarator pedal gari inakua nzito kama inajipiga stop engine hivi kwa muda then inaacha, na pia wakati nimesimama kwenye foleni, wakati wa kuondoka gari inakuwa nzito na sluggish, yaan inachelewa kuchanganya tofauti na ilivyokuwa awali. Nilishabadilisha Curburator (Throttle body complete), 'speed sensor' za kwenye gear box, na hata 'fuel filter' ya kwenye tank la mafuta nilisafisha pia. Sasa hii hali bado inaendelea na inanikera mno, nisaidieni kwa wenye utaalam na haya mambo.
Gari ni Toyota saloon car, automatic transmission.(Brevis)
Kwangu naona ni kama LOSS OF COMPRESION POWER.... Inaweza ikawa piston rings zinapitisha..Lakini hii angalia kama gari inatoa moshi mweupe
 
Kwangu naona ni kama LOSS OF COMPRESION POWER.... Inaweza ikawa piston rings zinapitisha..Lakini hii angalia kama gari inatoa moshi mweupe
Gari haina moshi mweupe, infact haitoi moshi kabisa, ni kama mvuke wa maji tu
 
Dah.. gari kuwa nzito husababishwa na hitilafu katika mfumo wa umeme au mafuta katika engine. Kwa magari yasiotumia mfumo wa EFI mara nyingi huwa ni kabreta au mfumo wa ignishen..
Ushauri
1. Angalia Kama Kuna uvujaji wa nguvu ya umeme...na hili unaweza kulifanya mwenyewe kwa kuwasha gari gizani kisha angalia Kama kuna cheche zinaonekana kwenye waya za mfumo wa iginishen..
2. Badilisha plagi za mfumo wa iginishen...
3. Tafuta mtaalam aityuni kabreta yako..
4. Nirushie buku 2 kwa mpesa [emoji41]
 
Dah.. gari kuwa nzito husababishwa na hitilafu katika mfumo wa umeme au mafuta katika engine. Kwa magari yasiotumia mfumo wa EFI mara nyingi huwa ni kabreta au mfumo wa ignishen..
Ushauri
1. Angalia Kama Kuna uvujaji wa nguvu ya umeme...na hili unaweza kulifanya mwenyewe kwa kuwasha gari gizani kisha angalia Kama kuna cheche zinaonekana kwenye waya za mfumo wa iginishen..
2. Badilisha plagi za mfumo wa iginishen...
3. Tafuta mtaalam aityuni kabreta yako..
4. Nirushie buku 2 kwa mpesa [emoji41]
Ofcourse nitaenda kwa mtaalam, ila nataka niwe na idea nisije nikaorodheshewa vitu hata visivyohusika. Hiyo namba mbili nahisi inahusika, maana hii gari ina miaka mi3 + sijawahi gusa plug
Nitaleta mrejesho, Thanks.
 
Ofcourse nitaenda kwa mtaalam, ila nataka niwe na idea nisije nikaorodheshewa vitu hata visivyohusika. Hiyo namba mbili nahisi inahusika, maana hii gari ina miaka mi3 + sijawahi gusa plug
Nitaleta mrejesho, Thanks.
Dah...namba 4 ndiyo muhimu bana[emoji13]
 
Back
Top Bottom