Msaada: Gari inawaka ila taa zote haziwaki na pia inapiga sailensa

Msaada: Gari inawaka ila taa zote haziwaki na pia inapiga sailensa

Wakuu gari nawasha sasa hivi inawaka ila taa zote haziwak na pia inapiga sailensa,msaada wako tatzo nn gar ni brevis


Gari inaweza ikawa Brevis ila makinikia ya ndani yote 'Made In China', usipo angalia itakulipukia. Bomu hilo.
 
Gari inaweza ikawa Brevis ila makinikia ya ndani yote 'Made In China', usipo angalia itakulipukia. Bomu hilo.
Duuuh nna mwaka wa pili mkuu labda kwa dua zako mkuu,made in Japan kitu toka Yokohama motors
 
Ni tatizo dogo hilo mkuu acha kujipa pressure hapo kuna main fuse imekata.na ndio kazi ya fuse hiyo.imefanya kazi yake hapo.unajipa pressure hapo spea hazitazidi hata elfu 15.kama imekata fuse kubwa.lkn kama ni ndogo bei yake ni mia 5 tuu
Nikwel kabsa mkuu maana chanzo nikubadil betri jamaa wakatofautisha hasi na chanya kuja kuweka sawa gari inawaka ila ndan kwa dashboard haziwak.we ni mkali mkuu
 
Ni tatizo dogo hilo mkuu acha kujipa pressure hapo kuna main fuse imekata.na ndio kazi ya fuse hiyo.imefanya kazi yake hapo.unajipa pressure hapo spea hazitazidi hata elfu 15.kama imekata fuse kubwa.lkn kama ni ndogo bei yake ni mia 5 tuu
Mkuu ni kweli kabisa nimetumia elf tano kabadilisha fuse moja kitu kiko hewan
 
Nikwel kabsa mkuu maana chanzo nikubadil betri jamaa wakatofautisha hasi na chanya kuja kuweka sawa gari inawaka ila ndan kwa dashboard haziwak.we ni mkali mkuu

Mmh, omba isiwe imepiga shoti system nzima maana itakuwa hatari. Kuna rafiki yangu alikuwa anaiboost battery akachanganya terminals, mbona aliisoma namba maana ni kama aliiparalaizisha.
 
Mmh, omba isiwe imepiga shoti system nzima maana itakuwa hatari. Kuna rafiki yangu alikuwa anaiboost battery akachanganya terminals, mbona aliisoma namba maana ni kama aliiparalaizisha.
Mkuu nashukuru kitu kimewaka nimebadili fuse tu
 
Una gari moja tu mkuu? Duh pole sana
Ndugu yangu ivindo utawala huu usijifanye wee papaa sana na kuona wenzio wachovu,utanyea debe afu had wajue hauz ngada utakua umeumia,uwe makini
 
Back
Top Bottom