Msaada: Gari Kushtuka ikiwa kwenye mwendo mdogo

Msaada: Gari Kushtuka ikiwa kwenye mwendo mdogo

Lord Lofa

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2011
Posts
2,390
Reaction score
2,396
Wakuu naomba msaada kwa Changamoto ya gari yangu ambayo inachangamoto ya kushutuka na kama kukwama kwama ikiwa intembea kwenye mwendo wa kati ya 20 hadi 40km/h, gari Nissan Xtrail - NT31, mwanzoni mafundi walizani ni missing zinazobabishwa na spark Plug, nilibadili plug lakini tatizo halikuisha.

Fundi Mwengine akasema inawezekana Fuel Filter haichuji vizuri, nimebadili fuel filter lakini tatizo halijaisha wakuu. Gari ikiwa kwenye speed kuvuka 60km/h husikii ikishtuka, ila ukiwa kwenye mwendo mdogo tu gari inakua inashtuka shtuka.

Binafsi nahisi hii Changamoto inaweza kuwa inasababishwa tatizo la Transmission naomba wenye uzoefu mnipe msaad wakuu.
 
Wakuu naomba msaada kwa Changamoto ya gari yangu ambayo inachangamoto ya kushutuka na kama kukwama kwama ikiwa intembea kwenye mwendo wa kati ya 20 hadi 40km/h, gari Nissan Xtrail - NT31, mwanzoni mafundi walizani ni missing zinazobabishwa na spark Plug, nilibadili plug lakini tatizo halikuisha, Fundi Mwengine akasema inawezekana Fuel Filter haichuji vizuri, nimebadili fuel filter lakini tatizo halijaisha wakuu. Gari ikiwa kwenye speed kuvuka 60km/h husikii ikishtuka, ila ukiwa kwenye mwendo mdogo tu gari inakua inashtuka shtuka, binafsi nahisi hii Changamoto inaweza kuwa inasababishwa tatizo la Transmission naomba wenye uzoefu mnipe msaad wakuu.
Hiki ndicho kinachotokea kwangu nimebadili plug just week 2 zilizopita rpm ikapanda balaa, wakasema wameharibu injector walipoisafisha nimeweka injector mpya, juzi naendesha naona inashutuka tena ila kwa mbali lakini hata kabla ya kubadili plug ilianza hivyo hivyo baadae tatizo likawa kubwa ila nilipobadili plug lilipungua ila naona kama linaanza. pia gari nzito fulani nayo ni nissan.
 
Hiki ndicho kinachotokea kwangu nimebadili plug just week 2 zilizopita rpm ikapanda balaa, wakasema wameharibu injector walipoisafisha nimeweka injector mpya, juzi naendesha naona inashutuka tena ila kwa mbali lakini hata kabla ya kubadili plug ilianza hivyo hivyo baadae tatizo likawa kubwa ila nilipobadili plug lilipungua ila naona kama linaanza. pia gari nzito fulani nayo ni nissan.
Ooooh TOYOTA ni ushamba.
Nissan ndiyo mpango mzima.
Oooh sikuhizi dunia ni Kijiji spea zipo ti.
Aaaah kwa teknolojia ya sasa mafundi wapo tuuu..... umeyakanyaga sasa!
Kwa msaada kuna Nyuzi humu inayohusika na Nissan itafute usaidike. Lkn kama ni Nissan Xtrail kazi imeanza
 
Ooooh TOYOTA ni ushamba.
Nissan ndiyo mpango mzima.
Oooh sikuhizi dunia ni Kijiji spea zipo ti.
Aaaah kwa teknolojia ya sasa mafundi wapo tuuu..... umeyakanyaga sasa!
Kwa msaada kuna Nyuzi humu inayohusika na Nissan itafute usaidike. Lkn kama ni Nissan Xtrail kazi imeanza
mafundi wanabahatisha tu hakuna fundi mzuri na mimi kwenye kutengeneza gari sinaga kubania ila nimegundua mafundi wanabahatisha hawana uhakika na wanachofanya.
 
Miaka mingi nyuma nlkuaga na carina ilikua na tatizo kama hili.

Ilikua ina rev RPM za juu sana speed kiduchu, pia gia ilikua inachelewa sana kubadilisha

ilikua inashtuka shtuka, na ukipiga safari ndefu sana ilikua kama inamiss miss hivi

Tatizo ilikua gearbox tukavua tukaeka mpya
 
Tatizo hilo lipo kwangu pia (Toyota Vits 2008), gari inatetemeka ikiwa kwenye mwendo mdogo na kukosa nguvu, nilibadili spark plugs & transmission oil nikakaa wiki tu tatizo limerudi palepale, gari inshtuka na kukosa nguvu nikikajaga mafuta
 
Wakuu naomba msaada kwa Changamoto ya gari yangu ambayo inachangamoto ya kushutuka na kama kukwama kwama ikiwa intembea kwenye mwendo wa kati ya 20 hadi 40km/h, gari Nissan Xtrail - NT31, mwanzoni mafundi walizani ni missing zinazobabishwa na spark Plug, nilibadili plug lakini tatizo halikuisha.

Fundi Mwengine akasema inawezekana Fuel Filter haichuji vizuri, nimebadili fuel filter lakini tatizo halijaisha wakuu. Gari ikiwa kwenye speed kuvuka 60km/h husikii ikishtuka, ila ukiwa kwenye mwendo mdogo tu gari inakua inashtuka shtuka.

Binafsi nahisi hii Changamoto inaweza kuwa inasababishwa tatizo la Transmission naomba wenye uzoefu mnipe msaad wakuu.
1725271549085.png
 
Tatizo watz tunakazania nimebadiri plugs, je uliweka plugs original baada ya kutoa zile za mwanzo? Au umebadili tu hata za pikpik we twende ilimrad plugs,,,, pia kwanini usipeleke gari kwa mafundi wa uhakika wakapime na mashine? Mimi fundi wa kubahatisha hagusi gari yangu. Pia fundi wa kwanza wa gari yako ni ww mwenyew isome kwenye mitandao vzr tambua original plugs ambazo ni specific kwa gari yako, oil, cvt au atf na vinginevyo
 
Wakuu naomba msaada kwa Changamoto ya gari yangu ambayo inachangamoto ya kushutuka na kama kukwama kwama ikiwa intembea kwenye mwendo wa kati ya 20 hadi 40km/h, gari Nissan Xtrail - NT31, mwanzoni mafundi walizani ni missing zinazobabishwa na spark Plug, nilibadili plug lakini tatizo halikuisha.

Fundi Mwengine akasema inawezekana Fuel Filter haichuji vizuri, nimebadili fuel filter lakini tatizo halijaisha wakuu. Gari ikiwa kwenye speed kuvuka 60km/h husikii ikishtuka, ila ukiwa kwenye mwendo mdogo tu gari inakua inashtuka shtuka.

Binafsi nahisi hii Changamoto inaweza kuwa inasababishwa tatizo la Transmission naomba wenye uzoefu mnipe msaad wakuu.
Unsolved shida yako? I have a solution
 
mafundi wanabahatisha tu hakuna fundi mzuri na mimi kwenye kutengeneza gari sinaga kubania ila nimegundua mafundi wanabahatisha hawana uhakika na wanachofanya.
I have a solution nakupa na warranty kabisa... Nipigie 0688758625 kama bado hujasolve
 
Sehemu kubwa ya tatizo itakuwa ni transmission; badili ATF na filter yake. Ama sivyo huenda ni alternator yake imechoka kwa hiyo haipeleki umeme wa kutosha kwenye solenoids zilizomo ndani ya transmission.
 
Wakuu naomba msaada kwa Changamoto ya gari yangu ambayo inachangamoto ya kushutuka na kama kukwama kwama ikiwa intembea kwenye mwendo wa kati ya 20 hadi 40km/h, gari Nissan Xtrail - NT31, mwanzoni mafundi walizani ni missing zinazobabishwa na spark Plug, nilibadili plug lakini tatizo halikuisha.

Fundi Mwengine akasema inawezekana Fuel Filter haichuji vizuri, nimebadili fuel filter lakini tatizo halijaisha wakuu. Gari ikiwa kwenye speed kuvuka 60km/h husikii ikishtuka, ila ukiwa kwenye mwendo mdogo tu gari inakua inashtuka shtuka.

Binafsi nahisi hii Changamoto inaweza kuwa inasababishwa tatizo la Transmission naomba wenye uzoefu mnipe msaad wakuu.
Inaogopa.
 
Sehemu kubwa ya tatizo itakuwa ni transmission; badili ATF na filter yake. Ama sivyo huenda ni alternator yake imechoka kwa hiyo haipeleki umeeme wa kutosha kwenye solenoids zilizomo ndani ya transmission.
Kama ni dualis ni plug mkuu. Unaweza kudhani gearbox imebuma gear zinaslip.
Mimi nimebadili plugs zaidi ya mara 4 inatulia siku 2 au 3 inaanza upya. Hadi mwisho fundi akasema hii si plug ni gearbox ya kushusha nunua nyingine. Mbaya zaidi unakuta sometimes hata haisomi error yoyote kwenye mashine.
Juzi jitu kaniwekea plug og, tatizo kwisha hadi sasa nasikilizia ipite week maana zile za mwanzo zilikuwa kumbe sizake ikichoka tu ndani ya siku mbili tatizo larudi
 
Bado kaka haijawa solved
Nenda kwa jamaa kama ni dualis. Nmeishi na hili tatizo miez 4 nimebadili plug mara 4, mwezi huu ilikuwa nikaivue gearbox nifunge mpya kumbe shida ji plug fake
 
Back
Top Bottom