Msaada: Gari Kushtuka ikiwa kwenye mwendo mdogo

Msaada: Gari Kushtuka ikiwa kwenye mwendo mdogo

Kama ni dualis ni plug mkuu. Unaweza kudhani gearbox imebuma gear zinaslip.
Mimi nimebadili plugs zaidi ya mara 4 inatulia siku 2 au 3 inaanza upya. Hadi mwisho fundi akasema hii si plug ni gearbox ya kushusha nunua nyingine. Mbaya zaidi unakuta sometimes hata haisomi error yoyote kwenye mashine.
Juzi jitu kaniwekea plug og, tatizo kwisha hadi sasa nasikilizia ipite week maana zile za mwanzo zilikuwa kumbe sizake ikichoka tu ndani ya siku mbili tatizo larudi
Spark plugs hazina uhusiano wowote na transmission. Kama tatizo lako lilikuwa solved kwa kubadili spark plugs tu basi bado huenda alternator yako haina nguvu za kutosha na zile spark plugs ulizokuwa unatumia zilikuwa zinakula umeme mwingi sana kusababisha transmission isipate umeme wa kutosha kufungua solenoids zake
 
Spark plugs hazina uhusiano wowote na transmission. Kama tatizo lako lilikuwa solved kwa kubadili spark plugs tu basi bado huenda alternator yako haina nguvu za kutosha na zile spark plugs ulizokuwa unatumia zilikuwa zinakula umeme mwingi sana kusababisha transmission isipate umeme wa kutosha kufungua solenoids zake
Naelewa kuwa hakuna uhusiano kati ya plug na transmission. Ila the way ilivyokuwa ina behave kule kushutuka ungedhani kama gear zinaruka ruka vile ikiwa speed ndogo tena kuna muda si kwamba inashtuka mara moja ni mwendelezo hadi ukanyage mafuta mengi izidi speed 60.
Yani jinsi inavyoshtuka utadhani kama gear zinaslip vile. Plugs walizokuwa wameweka zilikuwa sio zake zikiwekwa, muda huo utaona inakuwa sawa ukiendesha kama siku moja hivi, zinazingua.
Toka nimeweka plugs zenyewe juzi nishatembea zaidi ya kilomita 200 hilo tatizo hakuna kabisa.
 
Naelewa kuwa hakuna uhusiano kati ya plug na transmission. Ila the way ilivyokuwa ina behave kule kushutuka ungedhani kama gear zinaruka ruka vile ikiwa speed ndogo tena kuna muda si kwamba inashtuka mara moja ni mwendelezo hadi ukanyage mafuta mengi izidi speed 60.
Yani jinsi inavyoshtuka utadhani kama gear zinaslip vile. Plugs walizokuwa wameweka zilikuwa sio zake zikiwekwa, muda huo utaona inakuwa sawa ukiendesha kama siku moja hivi, zinazingua.
Toka nimeweka plugs zenyewe juzi nishatembea zaidi ya kilomita 200 hilo tatizo hakuna kabisa.
I have the same issue with my Nissan, nafanya mchakato nimuone Jitu
 
I have the same issue with my Nissan, nafanya mchakato nimuone Jitu
Mkuu kamwone.... yani wiki ijayo nilikuwa ninaenda kuvua gearbox maana nilikuwa nishaaminishwa hivyo baada ya kubadilisha plug mara tatu. hadi nilikuwa nshasema kweli dualis kimeo na licvt lake.
 
"Nahisi" ni Crank Angle Sensor.
Kwa uhakika zaidi-tafuta fundi mwenye diagnosis machine.
Fuata maelekezo ya mashine.Achana na kubahatisha kwenye gari za kisasa.
 
Naelewa kuwa hakuna uhusiano kati ya plug na transmission. Ila the way ilivyokuwa ina behave kule kushutuka ungedhani kama gear zinaruka ruka vile ikiwa speed ndogo tena kuna muda si kwamba inashtuka mara moja ni mwendelezo hadi ukanyage mafuta mengi izidi speed 60.
Yani jinsi inavyoshtuka utadhani kama gear zinaslip vile. Plugs walizokuwa wameweka zilikuwa sio zake zikiwekwa, muda huo utaona inakuwa sawa ukiendesha kama siku moja hivi, zinazingua.
Toka nimeweka plugs zenyewe juzi nishatembea zaidi ya kilomita 200 hilo tatizo hakuna kabisa.
Issue ya transmission kushtuka huwa ni ama ATF imepungua au umeme hautoshi; hizo ndizo sababu zenyewe za kuangalia. Kwa hiyo kama spark plugs zako ndizo zilikuwa mbovu maana yake zilikuwa zinakula umeme mwingi kiasi kuwa transmission ilikuwa haipati umeme wa kutosha. Kuna sababu nyingi zinazoweza kusababisha umeme usitoshe, siyo spark plugs tu.
 
Issue ya transmission kushtuka huwa ni ama ATF imepungua au umeme hautoshi; hizo ndizo sababu zenyewe za kuangalia. Kwa hiyo kama spark plugs zako ndizo zilikuwa mbovu maana yake zilikuwa zinakula umeme mwingi kiasi kuwa transmission ilikuwa haipati umeme wa kutosha. Kuna sababu nyingi zinazoweza kusababisha umeme usitoshe, siyo spark plugs tu.
Transmission haikuwa ndogo tena nimeibadilisha mwezi wa nne og.
The thing ni kwamba gari ilikuwa inashutuka na nadhani ni tatizo la dualis ukiipiga plug zisizo zake ndicho kinachotukumba.
 
Lina kwikwi.

Tia maji mengi inapotiwa oil, litaacha kushtuka moja kwa moja.

Halirudii tena.
 
Transmission haikuwa ndogo tena nimeibadilisha mwezi wa nne og.
The thing ni kwamba gari ilikuwa inashutuka na nadhani ni tatizo la dualis ukiipiga plug zisizo zake ndicho kinachotukumba.
Conclusion yake siyo sahihi kabisa. Kwa vile ulibadilisha spark plugs ndipo transmission yako ikaacha mshituko haina maana kuwa kila mshituka wa transmission unasababishwa na spark plugs tu, ambalo ndilo jibu lako; siyo kweli.

Mshituko wa transmission husababishwa na ama ATF au umeme basi, labda kama meno ya gear mojawapo amevunjika. Kwa vile umeme wa gari unatoka kwenye alternator na kusambaa gari zima, kitu chochote ambacho kinatumia umeme kikila umeme mwingi kuliko mgao wake wa kawaida basi transmission pia itashindwa kufanya kazi vizuri. Hata redio ikiwa na shoti ikawa inakula umeme mwengi sana basi transmission yako nayo itashtuka.
 
Kuna kipindi nilitamani kutelekeza gari barabarani nifanye sandakarawe mwenye kupata apate, cha kuokota si cha kuiba...

Ashukuriwe fundi mangunge alirekebisha tatizo na sikusumbuka tenaaa....🙂.

Ilikuwa ule mshale wa spidi uko chini sana hivyo ukiwa umesimama kwenye foleni gari inatetema na saa ingine inazima yenyewe.... kila saa kanyeenyeenyeee weeeh....😬😬😬.

Unaanzaje kushuka usukume huku unakimini na umevaa hills....🙄🙄.
 
Conclusion yake siyo sahihi kabisa. Kwa vile ulibadilisha spark plugs ndipo transmission yako ikaacha mshituko haina maana kuwa kila mshituka wa transmission unasababishwa na spark plugs tu, ambalo ndilo jibu lako; siyo kweli.

Mshituko wa transmission husababishwa na ama ATF au umeme basi, labda kama meno ya gear mojawapo amevunjika. Kwa vile umeme wa gari unatoka kwenye alternator na kusambaa gari zima, kitu chochote ambacho kinatumia umeme kikila umeme mwingi kuliko mgao wake wa kawaida basi transmission pia itashindwa kufanya kazi vizuri. Hata redio ikiwa na shoti ikawa inakula umeme mwengi sana basi transmission yako nayo itashtuka.
Nadhani wewe ndiye hukunielewa.
Iko hivi, plug moja ilizokuja nazo ilikuwa haichomi, ikawa ina misfire. ODB ikasoma plug ya pili haichomi zikabadilishwa zote.
Siku ya pili ikawa gari kuna muda kama inaslip slip vile. Nikarudi wakachomoa wakaweka nyingien... nayo siku tatu zikaanza kuzingua, nikaenda kwa fundi mwingine.
Akaweka plug nyingine but nimetembea nazo siku hiyo gari ikarudi kuwa kama inaslip tena. Nikaona isiwe tabu ntakaa nazo hivyo hivyo.
Nimekaa nazo miez almost 4, lakini nilienda kwa fundi mwingine akaendesha akasema hii mbona si kama plug hii itakuwa gearbox na hizi cvt ni bora ununue nyingine na hapo nilikuwa nishabadili chase kwenye gearbox kuna sensor ya pressure iliungua nikashauriwa niweke chase nzima badala ya sensor tu.
ODB haikuwa inasoma kuwa transmission ina shida ila ilikuwa inasoma misfire. Ila inavyokuwa inaslip unaweza hisi labda gear haziingii.
Baada ya bwana miraba, kuniwekea plug hizo, misfire ikaondoa, no error code kwenye mashine na gari iko sawa.
So my conclusion, hali niliyokuwa naisikia chanzo ni plug ambazo haziendani na gari.
Sasa kuhusu kuslip kama gear haziingii vile, huenda shida sio transmission na wala haikuwa na shida ila sisi kutokana na tulivyohisi ndivyo tukadhani hivyo.
 
Bado kaka haijawa solved
Shida ni spark plug... hizo engine zinataka plug ambazo ni double iridium tena ziwe original otherwise utafunga plug utaona gari imepona halafu baada ya muda mfupi ugonjwa umerudi tena.

Plug original ninazo warranty 30000Km zimebaki sets 2 muda na saa yoyote zinaisha. Mpaka baada ya week 2 ndio zitakuwepo tena
 
Shida ni spark plug... hizo engine zinataka plug ambazo ni double iridium tena ziwe original otherwise utafunga plug utaona gari imepona halafu baada ya muda mfupi ugonjwa umerudi tena.

Plug original ninazo warranty 30000Km zimebaki sets 2 muda na saa yoyote zinaisha. Mpaka baada ya week 2 ndio zitakuwepo tena
Mkuu, mwenyewe ninashida ya aina hiyo kwenye Noah., ila yangu wali-icheck kwenye machine wakasema kuwa shida ni sensor to., ila hata baada ya marekebisho ishu imebaki vile vile., kwasasa ni mwendo wa kutetemeka na wakati mwingine ipo kama kuna kitu kinagonga., fundi na yeye ninaona kama ameikimbia kazi.,.
 
Mkuu, mwenyewe ninashida ya aina hiyo kwenye Noah., ila yangu wali-icheck kwenye machine wakasema kuwa shida ni sensor to., ila hata baada ya marekebisho ishu imebaki vile vile., kwasasa ni mwendo wa kutetemeka na wakati mwingine ipo kama kuna kitu kinagonga., fundi na yeye ninaona kama ameikimbia kazi.,.
Mkuu hili tatizo ulifanikiwa kulitatua? Nina changamoto kama yako kwenye Noah old model (SR40). Msaada tafadhali kama ulifanikiwa
 
Shida ni spark plug... hizo engine zinataka plug ambazo ni double iridium tena ziwe original otherwise utafunga plug utaona gari imepona halafu baada ya muda mfupi ugonjwa umerudi tena.

Plug original ninazo warranty 30000Km zimebaki sets 2 muda na saa yoyote zinaisha. Mpaka baada ya week 2 ndio zitakuwepo tena
Ndugu yangu ingia dm nimekutext kwa kirefu kule… nahitaji msaada wako
 
Back
Top Bottom