Msaada: Gari kuwa na miss na RPM kushuka

Msaada: Gari kuwa na miss na RPM kushuka

Mdogo ake the BOLD

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2018
Posts
510
Reaction score
871
Habarini wakuu, nina gari Toyota Vits RS Manual Transmission. Hii gari ina matatizo yafuatayo:

1.Ina miss ambayo haiishi. Nimesafisha nozzel na plug zote ziko poa.

2. Ukiwasha gari asubuhi RPM inashuka mpaka inazima. Nimeshafanya adjustment ya silencer lakini ikikaa muda inashuka mpaka gari inazima na check engine inawaka baada ya kutembea umbali fulani shida inaweza kuwa nini maana
 
Halafu KINGINE INAKUA NA HARD START MPAKA URUDIE MARA MBILI AU TATU
Habarini wakuu, nina gari Toyota Vits RS Manual Transmission. Hii gari ina matatizo yafuatayo:

1.Ina miss ambayo haiishi. Nimesafisha nozzel na plug zote ziko poa.

2. Ukiwasha gari asubuhi RPM inashuka mpaka inazima. Nimeshafanya adjustment ya silencer lakini ikikaa muda inashuka mpaka gari inazima na check engine inawaka baada ya kutembea umbali fulani shida inaweza kuwa nini maana
 
Habarini wakuu, nina gari Toyota Vits RS Manual Transmission. Hii gari ina matatizo yafuatayo:

1.Ina miss ambayo haiishi. Nimesafisha nozzel na plug zote ziko poa.

2. Ukiwasha gari asubuhi RPM inashuka mpaka inazima. Nimeshafanya adjustment ya silencer lakini ikikaa muda inashuka mpaka gari inazima na check engine inawaka baada ya kutembea umbali fulani shida inaweza kuwa nini maana
Mara nyingi dalili izi ni tatizo la MAF, badili iyo sensor tatizo litaisha
 
NIMEFANYA DIAGNOSIS LAKIN HALIJAONESHA KAMA KUNA TATIZO ILA CHECK ENGINE INAWAKA FUNDI AKACHEK FUEL PUMP KUNA KIRABA KIMELIKA HAKIZUII MAFUTA VZURI NDO CHA KUBADILISHA

K vant
 
Habarini wakuu, nina gari Toyota Vits RS Manual Transmission. Hii gari ina matatizo yafuatayo:

1.Ina miss ambayo haiishi. Nimesafisha nozzel na plug zote ziko poa.

2. Ukiwasha gari asubuhi RPM inashuka mpaka inazima. Nimeshafanya adjustment ya silencer lakini ikikaa muda inashuka mpaka gari inazima na check engine inawaka baada ya kutembea umbali fulani shida inaweza kuwa nini maana
Mkuu kwa maelezo yako hayo hapo unashida kama mbili au tatu.

Ishu ya silensa na ukiwasha asubuhi inazima hapo kuna switch inaitwa IDLE SWITCH ndio shida na shida yenyewe lazima itakuwa chafu ingekuwa imekufa ingekuwashia taa ya check engine..hiyo switch inapatikana kwenye throttle body/batter fly..
Hiyo ndio kazi yake kubalans silensa na kuongeza silensa asubuhi au gari ikiwa ya baridi au ukiwasha AC au ukiipa mzigo engine kama ukiweka gear yenyewe inaongeza silens ili kubalans..

Ishu ya hard start umesafisha nozel lkn umesahau petrol filter.. kwanza hapo kuna mawili yaweza kuwa petrol filter chafu sana au mfumo wa mafuta ushachokonolewa hivyo mafuta yanakuwa yana return kwenye tank.hivyo unavyo park gari mda mrefu mafuta yanaludi kwenye tank yote na unavyowasha yanakuwa yanaanza safari na moya yajae kwenye filter kisha yafanye safari mpaka kufika kwenye nozeli lazima gari iwe na hard start mkuu..

Anza na hivyoo kwanza
 
Mkuu kama taa ya check engine inawaka ni Bora ukafanye diagnosis kuliko kubahatisha...
Unaweza kumaliza pesa nyingi Kwa TATIZO dogo Sana maana kila mtu atakushauri anavyojua yeye.
Huu ni ushauri mzuri sana. Infact kama hataki kumaliza pesa yake, apeleka gari yake garage kubwa au kule toyota kabisa. Hii itamuokoa kupata stress,kuliwa hela bila sababu za msingi! Kuna jamaa yangu alinusurika kununulishwa control box kwa 1.5 kumbe tatizo ni mafundi wenyewe wameshindwa kuweka timing chain kiusahihi na wameshinda nayo wiki nzima! Wakati anahangaika kutafuta control box kuna fundi akamwambia lete nikuangalizie hiyo ina tatizo gani; kucheki akasema iko poa haina shida yoyote, twende nikakufanyie diagnosis gari yako nijue ina shida gani akagundua ni timing chain wameshindwa kuiweka inavotakiwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huu ni ushauri mzuri sana. Infact kama hataki kumaliza pesa yake, apeleka gari yake garage kubwa au kule toyota kabisa. Hii itamuokoa kupata stress,kuliwa hela bila sababu za msingi! Kuna jamaa yangu alinusurika kununulishwa control box kwa 1.5 kumbe tatizo ni mafundi wenyewe wameshindwa kuweka timing chain kiusahihi na wameshinda nayo wiki nzima! Wakati anahangaika kutafuta control box kuna fundi akamwambia lete nikuangalizie hiyo ina tatizo gani; kucheki akasema iko poa haina shida yoyote, twende nikakufanyie diagnosis gari yako nijue ina shida gani akagundua ni timing chain wameshindwa kuiweka inavotakiwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mafundi wa mtaani nawajua nduguu!! Kazi Yao kubwa ni kubahatisha Tu ingawa baadhi Yao wanapatia ufumbuzi wa TATIZO....Ila Kwenye mambo ya engine ni Bora kwenda Kwenye diagnosis unapata jibu la uhakika
 
Asante sana mkuuu...unapatikana wap??? Ni pm namba zako halafu ukitembea baada ya muda check ENGINE inawaka
Mkuu kwa maelezo yako hayo hapo unashida kama mbili au tatu.

Ishu ya silensa na ukiwasha asubuhi inazima hapo kuna switch inaitwa IDLE SWITCH ndio shida na shida yenyewe lazima itakuwa chafu ingekuwa imekufa ingekuwashia taa ya check engine..hiyo switch inapatikana kwenye throttle body/batter fly..
Hiyo ndio kazi yake kubalans silensa na kuongeza silensa asubuhi au gari ikiwa ya baridi au ukiwasha AC au ukiipa mzigo engine kama ukiweka gear yenyewe inaongeza silens ili kubalans..

Ishu ya hard start umesafisha nozel lkn umesahau petrol filter.. kwanza hapo kuna mawili yaweza kuwa petrol filter chafu sana au mfumo wa mafuta ushachokonolewa hivyo mafuta yanakuwa yana return kwenye tank.hivyo unavyo park gari mda mrefu mafuta yanaludi kwenye tank yote na unavyowasha yanakuwa yanaanza safari na moya yajae kwenye filter kisha yafanye safari mpaka kufika kwenye nozeli lazima gari iwe na hard start mkuu..

Anza na hivyoo kwanza

K vant
 
Habarini wakuu, nina gari Toyota Vits RS Manual Transmission. Hii gari ina matatizo yafuatayo:

1.Ina miss ambayo haiishi. Nimesafisha nozzel na plug zote ziko poa.

2. Ukiwasha gari asubuhi RPM inashuka mpaka inazima. Nimeshafanya adjustment ya silencer lakini ikikaa muda inashuka mpaka gari inazima na check engine inawaka baada ya kutembea umbali fulani shida inaweza kuwa nini maana
Embu jaribu kuwasha huku unakanyaga accelerator,alafu unipe mrejesho tujue wapi pa kuanzia
 
Back
Top Bottom