Msaada gari langu linanisumbua

Msaada gari langu linanisumbua

Sidhan kama unachosema kina chembe ya usahihi;most of the time watu wanaonunua magari mikononi ni wake wasiokuwa na uwezo wa kuagiza Japan kwa maana hela yao ni pungufu;for that difference uliyoitaja inatosha mtu kwenda showroom;hvyo kauli yako inatosha kukosa uhalisia
Yupo sahihi sana ...soma vizuri alichoandika....
Mtumba wa Japan unakuta una mileage 100k na zaidi....
Eti mtumba wa bongo ambao ulitolewa Japan una chini ya 100k...

Tujitafakari mara mbili mbili
 
Mada hapa ni mimi au gari?

Sikushangai. Ni wengi sana wenye ujinga kama wako JF. Mkiambiwa ukweli na ukiwaingia na kukosa hoja basi mnaanza matusi.

Nimegundua humu JF kuwa wewe ni kati ya wale watoto wa "single mother" ambao kila mwanamme anaeingia ulipolelewa unaambiwa "mwamkie baba'ko".

Punguani wahed.
Duh!
 
Hapa Bongo ukinunua gari Dar lichukue uliendeshe mwenyewe ukafanye malipo Huko musoma,Uganda n.k hapo huwezi juta!
 
Yupo sahihi sana ...soma vizuri alichoandika....
Mtumba wa Japan unakuta una mileage 100k na zaidi....
Eti mtumba wa bongo ambao ulitolewa Japan una chini ya 100k...

Tujitafakari mara mbili mbili
Soma tena utaelewa nilichokijibu
 
Aisee....huyu mwenye hili gari angefuata tu ushauri wa wadau..anunue engine used ndiyo salama yake..

Vinginevyo mafundi watamlia pesa mpaka achanganyikiwe.....

Kununua gari kwa mbongo inahitaji knowledge ya hali ya juu...
Engine zingine nazo unaweza kuta majanga
 
Back
Top Bottom